Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 29,295
- 83,720
Nimefanyaje etiKumbe ni ww
Nimefanyaje etiKumbe ni ww
Mie napenda sana kutembea, lakini isiwe kila siku na isiwe kwa ajili ya kuenda kufanya kazi bali iwe ni kwa ajili ya kujifurahisha tu.Imagine tulikua tunaenda shamba km kama 15. Tena milimani..Dailly kwamiguu
Tulikua twaenda kuchunga maharage yasiliwe na tumbili. Muda mwingi tulitumia kutafuta asali msituni na kutafuta mabungo mtoni..+ kuwinda sunguraMie napenda sana kutembea, lakini isiwe kila siku na isiwe kwa ajili ya kuenda kufanya kazi bali iwe ni kwa ajili ya kujifurahisha tu.
Mie mbeya huwa natembea sana milimani
Hapo angalau, ila siyo nitembee eti naenda shambani kulima au kuvuna maana hadi nafika shambani nguvu zitakuwa zimeniishia.Tulikua twaenda kuchunga maharage yasiliwe na tumbili. Muda mwingi tulitumia kutafuta asali msituni na kutafuta mabungo mtoni..+ kuwinda sungura
vidume daslam ruksa kuendelea kutetemeka.Hahaha wanaume wa Dar wanazingua... Ila kitu chochote kigeni kikitokea hakina mwanaume wa Dar wala wa Mkoani.
Arusha kile kimbunga kilichotokea mwaka jana mbona nao walitetemeka? Kitu ambacho hujakizoea kikitokea lazima kikupe hofu kama una moyo mwepesi
Sawa muha tumekusomaSome beautiful moments View attachment 1421455View attachment 1421454View attachment 1421456View attachment 1421457
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndo ile ilikua inatiwa Hiltop au? Kuna moja nimeisahau sijui ni Maweni?Ipo Mkuu inaitwa Sunset Vista...
Nyingine zote ni Kuanzia nyota nne kushuka chini
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivii hizi majibu zako wakwetu unazitoaga wapi.??Sawa
Mkuu huwajui watu wa dar? Wataalamu wa kula muhindi wa kuchoma na chachandu
Sent using Jamii Forums mobile app
😅 😅 😅 😅Hahahaha kama mimi tu, kule kwetu kusini kuna baridi kiasi kwamba nikawa nasema, kwa kweli kama nimeweza kuzoea baridi la kwetu basi dar hakuna baridi ambalo litaja nishitua, ila hili baridi la kipindi hiki dar naona kama linanifanya nitengue kauli yangu.
😀😀 Wakwetu Mimi mwenyewe hata sijui zatokeaga wapi..najikuta tu nimeandika "sawa"Hivii hizi majibu zako wakwetu unazitoaga wapi.??
Nimecheka kama mazuri hahahahah watu mnajua kuchimba reference.Nina roho mbaya sijapata kuona, Hivi ni mimi tu? - JamiiForums Hupaswi kulaumiwa.. Unapaswa kusaidiwa kielimu kimtazamo na kipato pia... Ukihitaji huduma yangu nitakusaidia bure kabisa bila kinyongo
Jr
Manzese na buguruni ni mjini sana.
Halafu acha basi kufananisha hiyo picha na manzese na buguruni.
Msela wa manzese akikusikia atakupiga
Katika maisha yangu siwezi kuishi Buguruni, Manzese, Tandale , mbagala , tandika ... Bora nirudi mkoani kwetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo bwana mganga hii kwako mamluki wako wametoa majibu gani?
Kwaiyo bwana mganga hii kwako mamluki wako wametoa majibu gani?
Daah aisee ukiona mtu anakuonyesha hoteli kali kwenye pic katikati ya mji....Yeah zipo nyingi.. kuna hadi 5 stars hotel beach.
Ukizoom vizuri utaona ghorofa kule mbele ndio hotel aliyofikia domo wakati anaadhimisha miaka 10 ya muziki
Sent using Jamii Forums mobile app
Kigoma Hilltop ipo nayo ni nzuri ila ni 4 Star..Hii ndo ile ilikua inatiwa Hiltop au? Kuna moja nimeisahau sijui ni Maweni?