Watu wa Dar bwana, you worry about everything!

Da'Vinci

JF-Expert Member
Dec 1, 2016
35,673
106,770
Sorry. Nimeona mkusema mengi kuhusu hali ya jana iliyotokea, binafsi mm sikuiona kutokana na eneo nilipo kulikua na Mawingu ya mvua.

Ila kutokana na picha nilizoona hiyo hali kwetu hua inatokea sana (Kigoma) maana kwetu jua huzama kuanzia saa 1 na 15 mpaka saa 1 na 30. Ambapo Dar na sehem zingine huwa ni giza kabisa. Hiyo hali inatokea sana, kuna siku nililala mchana nikaamka jioni nikakuta hali hiyo nikajua ni asubuhi nikakimbilia kuvaa nguo za shule.

Kiufupi hiyo hutokea sana kwetu..Nitaweka picha nilizopiga Dec na Jan nikiwa huko zikionyesha hali kama hiyo

20200107_190820.jpeg
20200107_190551.jpeg
20200107_190646.jpeg
20200107_190535.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
It was different,
Hata Dar jua likizama ukiwa eneo lenye view nzuri huwa anga linaonekana Hiyo,na Siyo Dar tu ni maeneo mengi pia..

Jana kutwa nzima hapakuwa na jua kabisa,
Jioni ghafla anga likabadilika,hapakuwa na jua Ila ni anga lilibadilika Rangi,
Hiyo ilishtua watu kwa sababu haikutegemewa mabadiliko ya rangi ya anga kwa wakati ule na pia upinde ulikuwa na mkubwa tofauti na tulivyozoea kuuona.
 
Hahaha wanaume wa Dar wanazingua... Ila kitu chochote kigeni kikitokea hakina mwanaume wa Dar wala wa Mkoani.

Arusha kile kimbunga kilichotokea mwaka jana mbona nao walitetemeka? Kitu ambacho hujakizoea kikitokea lazima kikupe hofu kama una moyo mwepesi
 
Ni tofauti kabisa.. Hata kilingeni niliona..
Sorry. Nimeona mkusema mengi kuhusu hali ya jana iliyotokea, binafsi mm sikuiona kutokana na eneo nilipo kulikua na Mawingu ya mvua.

Ila kutokana na picha nilizoona hiyo hali kwetu hua inatokea sana (Kigoma) maana kwetu jua huzama kuanzia saa 1 na 15 mpaka saa 1 na 30. Ambapo Dar na sehem zingine huwa ni giza kabisa. Hiyo hali inatokea sana, kuna siku nililala mchana nikaamka jioni nikakuta hali hiyo nikajua ni asubuhi nikakimbilia kuvaa nguo za shule.

Kiufupi hiyo hutokea sana kwetu..Nitaweka picha nilizopiga Dec na Jan nikiwa huko zikionyesha hali kama hiyo

View attachment 1421446View attachment 1421448View attachment 1421449View attachment 1421450

Sent using Jamii Forums mobile app
tapatalk_1587109990657.jpeg


Jr
 
Ile ndio ilikua babu kubwaa..
Huku watu hawajazoea vingi..mm ilinichukua muda sana nilipokua Znj kuzoea jua la kule. Linawahi kuchomoza sana.. nahisi linatoka saa 11 usiku wakat kigoma saa 2 ndo laanza onekana
Hahaha wanaume wa Dar wanazingua... Ila kitu chochote kigeni kikitokea hakina mwanaume wa Dar wala wa Mkoani.

Arusha kile kimbunga kilichotokea mwaka jana mbona nao walitetemeka? Kitu ambacho hujakizoea kikitokea lazima kikupe hofu kama una moyo mwepesi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom