Watu wa CCM wakitoa hoja za kupinga Muungano wanashangilia, nongwa ni pale anapotoa hoja Mpinzani hata bubu atapayuka. Unafiki Mtupu

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,915
71,493
Ni mambo ya ajabu hiki chama cha kuendekeza ufisadi na uongo.

Kuna kasoro nyingi sana za muungano, lakini jambo la ajabu ni kuwa kasoro hizo zikizungumzwa na kiongozi wa CCM basi anashangiliwa hadi wabunge wanataka kupanda juu ya meza.

Ila hoja hizohizo zikiongewa na Mbowe au Lissu mpaka kina Kinana watatoka mafichoni kuja kumwaga hoja pointless mpaka aibu.

Huu unafiki utaisha lini?
 
Ni mambo ya ajabu hiki chama cha kuendekeza ufisadi na uongo.
Kuna kasoro nyingi sana za muungano, lakini jambo la ajabu ni kuwa kasoro hizo zikizungumzwa na kiongozi wa CCM Basi anashangiliwa hadi wabunge wanataka kupanda juu ya meza.
Ila hoja hizohizo zikiongewa na Mbowe au Lissu mpaka kina Kinana watatoka mafichoni kuja kumwaga hoja pointless mpaka aibu.
Huu unafiki utaisha lini?
Kwa sababu tumezoea upinzani wanapinga kila kitu kiwe kizuri au kibaya.
 
Ni mambo ya ajabu hiki chama cha kuendekeza ufisadi na uongo.
Kuna kasoro nyingi sana za muungano, lakini jambo la ajabu ni kuwa kasoro hizo zikizungumzwa na kiongozi wa CCM Basi anashangiliwa hadi wabunge wanataka kupanda juu ya meza.
Ila hoja hizohizo zikiongewa na Mbowe au Lissu mpaka kina Kinana watatoka mafichoni kuja kumwaga hoja pointless mpaka aibu.
Huu unafiki utaisha lini?
NDO MAAJABU YA CCM NA VIBARAKA WAKE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom