joji jakonyango
Member
- Dec 30, 2013
- 26
- 10
Huna shida na hela wewe
Loan? Mkuu loan unazijua lakini? Jamaa cha kwanza atawekwa ndani ili ndugu zake popote walipo waogope watafute hela popote zilipo waje wamkomboe...mpaka wazipate atakua amejiwekea historia ya kuwekwa lupango ktk maisha yakeUkizichukua automatically itakua counted kama loan kwako. na kumbuka tulifundishwa katika corporate finance kanuni moja inasema one bird in hand is much better than two in the bush.
Hakukushauri vizuri... tena hiyo ya kuchkua Bank statement ndio inakubana wewe maana ulikua unajua zinaingia na hukutoa taarifa wakati unatambua hujui zilikotoka... au tuambie ikaishaje, maana uwezekano ni kwamba mtu alichanganya digit moja maybe ndio akawa anadeposit kwako badala ya kwakeMi kwa muda wa miezi sita walikuwa waniongezea pesa walianza elfu 20 mpaka 90,nikamwambia ba watoto akaniambia niwe nachukua bank statement ili wakinikamata tuwabane vizuri.
Loan? Mkuu loan unazijua lakini? Jamaa cha kwanza atawekwa ndani ili ndugu zake popote walipo waogope watafute hela popote zilipo waje wamkomboe...mpaka wazipate atakua amejiwekea historia ya kuwekwa lupango ktk maisha yake
Hiyo bahati ingepitia pande hizi, sasa hivi ningekuwa na-jf live kutokea bar.
Akili ya div 5 utaijua , ukishakuwa bar ndio nini .