Watu wa benki jamani mnanitia majaribuni

Watu wa benki jamani mnanitia majaribuni

Huyu jamaa ni mwongo nadhani kama ingekua kweli hizo hela zimeingia kwenye akaunt yake hata humu jamvin asingekuja.
 
Huo ni mgao wako wa Escrow baaada ya kumaliza za EPA. Dhambi itawatafuna mpaka sana mjitaja wenyewe.
 
Huwa wanakosea hao, utakuta teller anapost akili ipo whatsup, lazima achanganye!
 
Nimekuwekea mimi,nitakupigia baadaye niko mombasa.
 
Kachukue hela kisha nitafute nikuonyeshe bar nzuri na madem wakali!
 
Watakutafuta uzilipe, it happened to my friend, lakini tafuta mwanasheria akupe ushauri
 
Mi kwa muda wa miezi sita walikuwa waniongezea pesa walianza elfu 20 mpaka 90,nikamwambia ba watoto akaniambia niwe nachukua bank statement ili wakinikamata tuwabane vizuri.
 
Mhh! Ndugu yangu Nyie Ndio wakupiga Risasi Hamfai Kuishi Katika Ulimwengu Huu. Fedha ni kila kitu. Ukiwa na fedha unakuwa na Power, wew ndugu yangu wawapi?

Miss Chagga Uko wapi? Huyu ndugu yetu akili zake ziko sawa kweli?

Bahati haiji Mara Mbili. Utakufa Maskini, na maneno kama oooh ningejua!

Ushauri, nakutumia Account yangu, transfer hizo hela haraka kabla bank hawaja shtuka.

ndugu yangu nahofu tutaanza kufuatana, na nimejaribu kutoa laki 5 zimetoka.
 
Ukizichukua automatically itakua counted kama loan kwako. na kumbuka tulifundishwa katika corporate finance kanuni moja inasema one bird in hand is much better than two in the bush.
 
umeshawataja! simbanking inajulikana ni CRDB.
Nimeamka asubuhi nina mia nne(tsh 400.00/=) mfukoni.

Nikajipa wazo ngoja niangalie salio benki kupitia simu yangu ya mkononi.

Nimeangalia mara 6 kuhakikisha kama ni macho yangu yananidanganya figures ninazoona. naona m.12,500,000/= wakati niliacha elfu 8 tu mara ya mwisho kwenye akaunti yangu.

Mnajua watu wa benk husika(siwataji) mna majaribu. Mmeniacha na mawazo lukuki tangu asubuhi.halafu tangu nimeona saa 3 asubuhi hadi sasa bado zipo tu.

1. je mmezichoka pesa zenu?
2. je nikichukua kuna tatizo? mtanifuata?
3. wasomi wa sheria nikichukua mkwanja huu ulio ktk akaunti yangu ni kosa na kama kosa ni lipi? madai au jinai?
4. au mnajivumia siwezi kutoa zote kwa SIM BANKING? na je nikiingia ndani benki nichukulie dirishani watanipa?

Mwisho nawapa muda, hadi saa 12 msipozihamisha hakika mtanilaumu. Yule adui mkuu ibilisi yuko jirani naona.

Ni taarifa tu, tusilaumiane wala kutafutana. Kumbukeni leo nina mia 4 tu halafu mnanipa majaribu mazito kama hayo
 
Kuna mshkaji wangu alikuwa classmate wangu Chuo,kuna kipindi tulikuwa tumepigika mbaya hatuna hela kabisa hata ya kula,nikamuuliza kwenye akaunti yako kuna shs ngapi akajibu 15elfu na nadhani watakuwa wamekata makato yao ya miezi miwili so inaweza kuwa chini ya elfu kumi,nikamwambia twende tukajaribu kutoa hata hiyo 10elfu,tukafunga safari mpaka kwenye ATM kufika pale anacheki salio tuu ikasoma laki6,akatoka nje akaniambia aisee kuna hela nyingi sana imo kwenye akaunti sielewi imetoka wapi,jibu nililompa katoe hela zote kwanza then maswala ya hela imetoka wapi tutajua tukiwa Bar,jamaa akaingia akatoa hela zote.

Tukaondoka zetu kituo cha kwanza Bar,nikamwambia sasa ajifanye kuwaulizia wazazi wake kama ile hela aliyoomba washamtumia,wakamjibu hawajamtumia hela mpaka mwisho wa mwezi ndio watamtumia,nikambia hiyo ni posting error ya Bank so cha kufanya kuanzia sasa ile akaunti asiitumie tena na atoe taarifa kwa watu wote wenye hiyo akaunti,mpaka kesho Bank tuliwaachia manyoa.
bank hawakutaka tu kufuatilia unapo fungua account kuna detail nyingi kukuhusu unawapa unaonaje wangetinga kwa mkuu wa chuo na kuriport huo wizi mliofanya? msingelipa??
 
Nimeamka asubuhi nina mia nne(tsh 400.00/=) mfukoni.

Nikajipa wazo ngoja niangalie salio benki kupitia simu yangu ya mkononi.

Nimeangalia mara 6 kuhakikisha kama ni macho yangu yananidanganya figures ninazoona. naona m.12,500,000/= wakati niliacha elfu 8 tu mara ya mwisho kwenye akaunti yangu.

Mnajua watu wa benk husika(siwataji) mna majaribu. Mmeniacha na mawazo lukuki tangu asubuhi.halafu tangu nimeona saa 3 asubuhi hadi sasa bado zipo tu.

1. je mmezichoka pesa zenu?
2. je nikichukua kuna tatizo? mtanifuata?
3. wasomi wa sheria nikichukua mkwanja huu ulio ktk akaunti yangu ni kosa na kama kosa ni lipi? madai au jinai?
4. au mnajivumia siwezi kutoa zote kwa SIM BANKING? na je nikiingia ndani benki nichukulie dirishani watanipa?

Mwisho nawapa muda, hadi saa 12 msipozihamisha hakika mtanilaumu. Yule adui mkuu ibilisi yuko jirani naona.

Ni taarifa tu, tusilaumiane wala kutafutana. Kumbukeni nina mia 4 tu halafu mnanipa majaribu mazito kama hayo.

UPDATES
hadi saa 10 hii bado zipo

kumbe Watz wote ni wezi kama viongoz wao! mama yangu tumekwisha.
 
Nimeamka asubuhi nina mia nne(tsh 400.00/=) mfukoni.

Nikajipa wazo ngoja niangalie salio benki kupitia simu yangu ya mkononi.

Nimeangalia mara 6 kuhakikisha kama ni macho yangu yananidanganya figures ninazoona. naona m.12,500,000/= wakati niliacha elfu 8 tu mara ya mwisho kwenye akaunti yangu.

Mnajua watu wa benk husika(siwataji) mna majaribu. Mmeniacha na mawazo lukuki tangu asubuhi.halafu tangu nimeona saa 3 asubuhi hadi sasa bado zipo tu.

1. je mmezichoka pesa zenu?
2. je nikichukua kuna tatizo? mtanifuata?
3. wasomi wa sheria nikichukua mkwanja huu ulio ktk akaunti yangu ni kosa na kama kosa ni lipi? madai au jinai?
4. au mnajivumia siwezi kutoa zote kwa SIM BANKING? na je nikiingia ndani benki nichukulie dirishani watanipa?

Mwisho nawapa muda, hadi saa 12 msipozihamisha hakika mtanilaumu. Yule adui mkuu ibilisi yuko jirani naona.

Ni taarifa tu, tusilaumiane wala kutafutana. Kumbukeni nina mia 4 tu halafu mnanipa majaribu mazito kama hayo.

UPDATES
hadi saa 10 hii bado zipo
na hivi hawajui ni nani ndo ushajipatia mihela..
 
kwani akaunti ni mali ya nani? mteja au benk? au wote?
Mkuu kwa hilo omba Mungu wasikudake...utaulizwa hizo pesa ulijua si zako na ukachukua kwa nini hukumuuliza banker wako...ushauri wangu chukua kiasi ambacho unajua utaweza kurudisha fasta ukitaitiwa,vinginevyo utaonja lupango hakika nakwambia...usifuate ushawishi wa watu we jiangalie mwenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom