Watu vinga'nga'nizi.

Watu vinga'nga'nizi.

tian

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2007
Posts
1,770
Reaction score
538
Watu jifunzeni "NO na "YES"

Kwanini umng'ang'anie mwenzio kama hakupendi na wala hataki mahusiono na wewe??

Muwe waelewa sio kila mwanamke utakaye mfuata atakupenda,ukiambiwa stop na iwe hivyo sio kuwa kesho jamani.

Aaarrrrrrggggghhhhh!!!!!😡
 
Wewe ni wa kiume ama kike?

Na hilo jina lako linatamkwaje?
 
Indeed. We have to learn to move on when love goes sour.

Life does go on.
 
Sasa hard to get si watakosa watu?
 
Huyu niaje ulishaona mwanamke katongozwa akasema faster ndio nimekubali? Hilo litakuwa changu tena liuzaji kwaanaye jiheshim mizenguo lazima bwana wé wawapi?
 
Hahahaaaaaaa! It all depends on the AGE FACTOR!

Mie zee la 30 somethin siwezi kuwa najibaguza manake nitakosa mhongo! Ila kama ni ka binti cha 23,24 akhaaaaaaaaaaaaa! YOU JUST CANT BE AN EASY CATCH AND CHEAP!!!!!!!!!! Its the best age of your life pleaseeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!

Ila ukishajikongoroea you take what is manageable and no longer the best to your liking.
 
Mbona sisi wanaume tukisem no mnasema tunaringa maana ck hz tunatongozwa sana nyie wadada aibu ilisbaenda kwao mnasema haki sawa!
 
Mbona sisi wanaume tukisem no mnasema tunaringa maana ck hz tunatongozwa sana nyie wadada aibu ilisbaenda kwao mnasema haki sawa!

mmmh sijawahi ona mwanaume ana sema no, wepesi wa kukubali tena huku anacheka cheka kama katekenywa...
wanawake ndo tungekuwa wanaume, kuwapata nyie hata sio tabu
:loco::loco::loco::loco::loco:
 
Watu jifunzeni "NO na "YES"

Kwanini umng'ang'anie mwenzio kama hakupendi na wala hataki mahusiono na wewe??

Muwe waelewa sio kila mwanamke utakaye mfuata atakupenda,ukiambiwa stop na iwe hivyo sio kuwa kesho jamani.

Aaarrrrrrggggghhhhh!!!!!😡
Tatizo lenu huwa mnaongea msicho kimaanisha unaweza kusema no ili kumpima kama anakupenda ndo maana vijana wanakomaa mngekuwa mnamaanisha mbona ingekuwa simple tu
 
mmmh sijawahi ona mwanaume ana sema no, wepesi wa kukubali tena huku anacheka cheka kama katekenywa...
wanawake ndo tungekuwa wanaume, kuwapata nyie hata sio tabu
:loco::loco::loco::loco::loco:

Wanaume wanasema no pia. Sa kama ni mwanamke kichwa cha ng'ombe ya nini kumkubalia
 
mmmh sijawahi ona mwanaume ana sema no, wepesi wa kukubali tena huku anacheka cheka kama katekenywa...
wanawake ndo tungekuwa wanaume, kuwapata nyie hata sio tabu
:loco::loco::loco::loco::loco:
Wewe ushaona wapi swala akajipitisha kwa simba then simba amuache? nyie mnatukamata kirahisi huwa mnatumia body language mnavaa kimtego mara ujifanye haujakaa vizuri ili hali ukijua ugonjwa wa mwanaume uko wapi unategemea akatae? akigoma useme hajakamilika
 
Wanaume wanasema no pia. Sa kama ni mwanamke kichwa cha ng'ombe ya nini kumkubalia

MWANAUME KAMA FISI TU hata mzoga anakula...

Wewe ushaona wapi swala akajipitisha kwa simba then simba amuache? nyie mnatukamata kirahisi huwa mnatumia bodt language mnavaa kimtego mara ujifanye haujakaa vizuri ili hali ukijua ugonjwa wa mwanaume uko wapi unategemea akatae? akigoma useme hajakamilika

Bora umekiri, nshajaribu mara kibao koh koh koh hakuna aliesema no
 
Siwezi kumkubalia mwanamke mbovu kama analipa akijichekesha lazima achezee r.u.n.g.u
 
Wewe ni wa kiume ama kike?

Na hilo jina lako linatamkwaje?

Fata maisha yako,
Jina na ninachozungumzia vinahusiana vipi??

Kuwa mtu mzima basi,at least behave ur age.
 
Hili somo liwe kwa wote, wadada acheni ung'ang'anuzi wa mapenzi.....

Hasa nyie over 25yrs, ukiona mkaka hana time na wewe anza upya, mnang'ang'ania hadi mnaonekana desperate.

Pili, acheni kuchagua kupitiliza, hasa nyie 25-yrs, kisa umri mdogo ndo msumbue watu, alafu mkifikisha 25 yrs mnaanza kuhaha kutafuta wa kuwaoa, mwisho mnaangukia pua...

Mwisho, msiendekeze ndoa, ndoa si kila kitu katika maisha, unaweza kuishi kwa furaha bila ndoa, ukizidi kuomba Mwenyezi Mungu akuletee anayekufaa, acheni kujirahisisha, thaminisheni miili yenu...."Mwili wako ni hekalu la mwenyezi Mungu"
 
Back
Top Bottom