Watu maarufu duniani waliofariki kabla ya kufikisha miaka 50

View attachment 212331

Gerald Lervet, an American soul singer July 13, 1966 - November 10, 2006.. Sababu za kifo chake ni mchanganyiko wa madawa aliyokunywa..
Kumbe, ahsante mkuu.

Vibao vyake vimetulia sana.

Kuna kibao chake kimoja cha kuitwa Made to love you kwa kweli kimetulia mno.

Cause I was made to love you...
My hands to touch you...
My arms to hold you...
My legs to stand...
My time to spend...

My lips to kiss you...
My eyes to see you...
My legs to stand...
 
Kumbe, ahsante mkuu.

Vibao vyake vimetulia sana.

Kuna kibao chake kimoja cha kuitwa Made to love you kwa kweli kimetulia mno.

Cause I was made to love you...
My hands to touch you...
My arms to hold you...
My legs to stand...
My time to spend...

My lips to kiss you...
My eyes to see you...
My legs to stand...

Daah Mkuu dat's my favourite song.. Jamaa alirithi kipaji toka kwa baba yake Eddie Levert.. Mwanzo alikuwa anaimba na mdogo wake wa kiume aliejulikana kama Sean Levert (huyu nae alifariki tarehe 30 march, 2008) pamoja na baba yake..
Kiibao baby hold on to me alichoshirikiana na baba yake Eddie kilishika namba moja kwenye charts za R&B mwaka 1991..

Jamaa alikuwa mkali sana kwa R&B..
 
Daah Mkuu dat's my favourite song.. Jamaa alirithi kipaji toka kwa baba yake Eddie Levert.. Mwanzo alikuwa anaimba na mdogo wake wa kiume aliejulikana kama Sean Levert (huyu nae alifariki tarehe 30 march, 2008) pamoja na baba yake..
Kiibao baby hold on to me alichoshirikiana na baba yake Eddie kilishika namba moja kwenye charts za R&B mwaka 1991..

Jamaa alikuwa mkali sana kwa R&B..
Mkuu ahsante sana kwa kunijuza mawili matatu ambayo sikuwa nayafahamu kiundani kuhusiana na Gerald Levert.

Ngoja nikisikilize kibao alichoshirikiana na Baba yake kisha narudi hivi punde.

Kumbe kipaji kachukua kwa baba, kweli maji hufuata mkondo kama NATALIE COLE nae kuna kibao ameshirikiana na baba yake, When I fall in love ambacho ameshirikiana na baba yake NAT KING COLE.
[h=1][/h]
 
Kiibao baby hold on to me alichoshirikiana na baba yake Eddie kilishika namba moja kwenye charts za R&B mwaka 1991..
Jamaa alikuwa mkali sana kwa R&B..
Jam la nguvu sana huwezi amini nimeusikiliza mara tano na hamu bado haijaniisha kibao kina ujumbe mzito sana.

Ahsante sana mkuu
 
HARUFU.jpeg HARUFU A.jpeg HARUFU C.jpg
 
Back
Top Bottom