Watu maarufu duniani waliofariki kabla ya kufikisha miaka 50

HARUFU.jpeg

HARUFU A.jpeg
 
Yaani mpaka page ya 3 ya michango ya huu uzi hakuna aliyemkumbuka Edward Moringe Sokoine! Aliyekuwa Waziri mkuu wa Tanzania, alifariki kwa ajali ya gari akitokea Dodoma tarehe 12 April 1984. Alikuwa na miaka 46 wakati anafariki.



Yani nami nilitegemea kukutana na hili lakini wapi!
Yani sijui hakuwa maarufu Mi sijui kweli!
 
9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa.9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa........
........ Huyu princess Diana alikufa kwa ajali ya gari wakat akiwakimbia mapaparazi nchini ufaransa aligonga nguzo ya umeme. Hyo ni baada ya kuachana na mtoto wa malkia na kujiingiza kwenye mahusiano na jamaa flan hvi japo sikumjua vizr aliyekuwa anamchukua kwa kipind hicho


Princess Diana alikufa mjini Paris Ufaransa kwenye tunnel (barabara ipitayo chini ya ardhi) baada ya kugonga vijiguzo vinavyokinga ukuta.
Alikuwa na boyfriend wake Mohammed "Dodi" Al Fayed, mwarabu wa Misri
 
Kibongo bongo kufa chini ya miaka hamsini ni kawaida sana. Watu wanakufa hovyo hovyo tu, kila siku misiba na maturubai kila kona. Watu wamezoea vifo mpaka mwenzao akifa hawashtuki kabisa, tena hawapati tabu ya kumwuliza daktari sababu ya kifo ni nini, wao wanafukia tu.
 
Yaani mpaka page ya 3 ya michango ya huu uzi hakuna aliyemkumbuka Edward Moringe Sokoine! Aliyekuwa Waziri mkuu wa Tanzania, alifariki kwa ajali ya gari akitokea Dodoma tarehe 12 April 1984. Alikuwa na miaka 46 wakati anafariki.

heshima kwake Sokoine, kwangu mimi ni mmoja wa mashujaa bora wa wakati wote ktk taifa hili.
 
Back
Top Bottom