Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,303
Yaah!kuna mtu kafa lakini ukimtizama usoni kama ana tabasamu vile ile kuna wengine ni zaidi ya kuku alie chinjwa miguu inarushwa kule.pia wacha niulize hapa kuna baadhi ya maiti huwa inakuwa ngumu kuzinyoosha yaani unakuta kakunja miguu na mikono hata kama watu walimuwahi kabla hajapoa inakuwaje?Ni kweli unaitwa sanaa ya kifo..ule ni baada ya kujiandaa kwa mtihani wa kifo na baadae kuingia huko kifoni
Hapa ni zile sekunde au dakika za mwisho between life n death or near to death experience
Kwa muktadha wa post ile yaani kile kimuhe muhe cha mtihani wa kifo
Hizi ni zile zenye viapo maagano na zilizochanjiwa muku za wachawi pia na watu waliofanya mabaya mengiYaah!kuna mtu kafa lakini ukimtizama usoni kama ana tabasamu vile ile kuna wengine ni zaidi ya kuku alie chinjwa miguu inarushwa kule.pia wacha niulize hapa kuna baadhi ya maiti huwa inakuwa ngumu kuzinyoosha yaani unakuta kakunja miguu na mikono hata kama watu walimuwahi kabla hajapoa inakuwaje?
MshanaKuna tafsiri nyingi katika hili naweza kusema ndio au hapana ila ukiniuliza kama nilishawahi kufika kuzimu nitasema ndio
Kuchanjia muku ndio nini mkuuHata hiki kitu kinachoitwa kuchanjia muku sio kizuri sana roho hutoka kwa ugumu sana na vibweka haviishi mpaka makaburini
Kisasi ni juu ya BWANA unaweza usimlipizie anavyostahili u knowKwa sisi tuliodhurumiwa mamilioni ya pesa ni ngumu hadithi hii kuielewa, mimi i can wait for proper revenge hata miaka 20.
ah ah ah ahKwa sisi tuliodhurumiwa mamilioni ya pesa ni ngumu hadithi hii kuielewa, mimi i can wait for proper revenge hata miaka 20.
Oook, nishasikia sana hizo,Kuchanjiwa madawa ya kienyeji hata ukipigwa huumii na kama ni kipigo kitakatifu mpaka wapigaji wako wakidhani wamekumaliza wewe unaweza kusurvive tena
Hebu say smthng about njia za kwenda huko xprienc yako maan zipo nyingi.Kuna tafsiri nyingi katika hili naweza kusema ndio au hapana ila ukiniuliza kama nilishawahi kufika kuzimu nitasema ndio
Why matukio mengi ni usiku?Naomba uniwie radhi...lakini vifo vingi hutokea usiku watu wakiwa wamelala
Can you say smething kuhusu hiyo kuonyeshwa.Ukizidi kutenda maovu hata cku ukitaka kufa utahangaika Mpaka basi sijui vinyongo muuaji kuna baba mchawi aliuaga wengi aliteseka huyo mana alianza kuungua kabla ya kifo na kuona vtu vya ajabu. Before MTU kufariki huonyeshwa three month ili atengeneze maisha yake na Mungu duniani
Baharin ziwani kote kwenye mass ya maji huweza kuwa get ya kwenda.Kwa njia ya kufa kichawi
Kwa njia ya kupitia baharini
Kwa njia ya meditation(hell meditation)
Kwa njia ya miujiza mbalimbali
Unawez atach hiyo pdf yake mkuuView attachment 328111
Why don't you read this book?
Hhhha hiyo ya tatu mambo ya Usinga ngoma ipoooo kuleeee ngoja nisipataje.Mshana Jr, naomba unijibu haya matatu, nayasubiria hapa asubuhi hii;
1 - Kuna wale kabla ya kufa, anaoza mwili mzima, na siyo kwamba alikuwa na kansa labda ama magonjwa hatari, hapana. Alianza tu kuwa mnyonge, vipimo vyote takribani yupo sawa, ila mwili unamuoza na kunuka, haja zote hapo hapo, ila baadaye kama miezi hivi anakufa.
2 - Kuna wale kabla ya kufa wanakata kauli tu, haongei chochote ila ukimsemesha anasikia, kula kwa shida, zaidi muda wote huwa anatokwa tu na machozi, hadi anapofariki machozi humtoka tu.
3 - Kuna wale ambao anakufa (mwanaume), Uume umemsimama tu muda wote, na mila za kwetu huku (sipataji), haruhusiwi kuzikwa hadi unywee, hivyo kuna vitu vitafanywa (sivisemi).
Hao wote juu hapo, ni mateso ama wanalipwa kabla ya kuzimu.
Ahsante!
Matendo ya mwili ni dhahili ndio haya uasherati, uchafu,fitina,faraka uzushi,uzinzi,ulevi, ulafi, Ufisadi na ibada ya sanamu watu watendao mambo ya jinsi hiyo nawaambia mapema kama nilivyokwisha kuwaambia hawatauridhi ufalme wa Mungu.... Usiwe mtu wa kuzini, usiwe mchawi, usiwe mlevi, usiwe mwizi, usiwe msengenyaji, usitukane watu Hapa JF,usitongoze watu hapa JF kwa lengo la uzinzi, usiwe mwongo, usiwe......... .....