Watu huona nini wanapokaribia kufa?

Watu huona nini wanapokaribia kufa?

Kama umeangalia movie ya Gods of Egypt dah pale kwenye judgement inatisha.Hili tukio jamani acha.Kiburi chote cha hapa dunian tupa kule.
 
Kumbuka kuwa YESU alikusanya maelfu katika mahubiri yake lakini hakuwa na dhehebu tena yamekuja baadae sana na saidia walio wake wenye kimuabudu kwa haki na kweli ukimpa msaada muhasi ni kazi bure bora ucngejisumbua

Japo sijakuelewa vizuri lakini umesoma vizuri watu waliotajwa wasaidiwe? Na ndio maana hakujatajwa dini wala dhehebu lolote, yametajwa matunda au matokeo ya matendo mema na sio jina la dini, ukiyafanya hayo yote wewe hauhitaji kujigamba kwa chochote!
 
Sasa marehemu anaona tena! Au unamanisha watu huona nini wanapokaribia kuaga dunia?? Kabla ya kufa huwezi mwita mtu marehemu..

Ameandika hivyo kwa sababu wakishakuyaona hayo yakuoenekana wakati roho inatengana na mwili si ndio wanafariki na kua marehemu? lazima kwenye maelezo yake aseme marehemu kwa vile hawapo tayari wameshatangulia mbele ya haki.
 
Japo sijakuelewa vizuri lakini umesoma vizuri watu waliotajwa wasaidiwe? Na ndio maana hakujatajwa dini wala dhehebu lolote, yametajwa matunda au matokeo ya matendo mema na sio jina la dini, ukiyafanya hayo yote wewe hauhitaji kujigamba kwa chochote!
Ukimcha MUNGU KWA ROHO NA KWELI utawajua walio wake na ndo ukiwasaidia utabarikiwa
 
.... Usiwe mtu wa kuzini, usiwe mchawi, usiwe mlevi, usiwe mwizi, usiwe msengenyaji, usitukane watu Hapa JF,usitongoze watu hapa JF kwa lengo la uzinzi, usiwe mwongo, usiwe......... .....

USIWE MTUMBUA MAJIPU WENGINE KWANI IPO SIKU NAWE UTATUMBULIWA
 
Aisee kuna sister do mmoja alikuwa kicheche mbaya kutombesha ata kwa msululu kwake haikuwa shida ...madanguloni alikaa sana ...asasa tukamuuguza siku anakata roho ..alikakamaa akapiga kelele ya kama ameona kitu cha ajabu mbaya ...akaondoka
 
Yule mtu kabla ya kuzaliwa anakuwa ameshaamua anataka kwenda duniani kufanya nini. Tuseme kwa mfano anataka kuwa rais,au anataka kuwa daktari. Au anataka kuwa daktari pamoja na kuwa rais. Kwa hiyo anazaliwa halafu baadaye anakuwa rais. Akifa,anaenda anapongezwa,excellent,ametimiza ajenda kikamilifu kwa hiyo anaamua baadaye arudi dunuani kufanya jambo gani lingine.
 
kunywa sumu halafu andaa maziwa unywe urudi hapa utujuze
 
Niandikapo mistari hii kuna watu wanakufa wengine watakufa baadae wengine usiku mwingi dunia ikiwa tulivu wengine kesho na kuendelea...mbele yao nyuma yetu

Kitu cha kushangaza kutoka wale walionusurika kifo ni simulizi zao za yale waliyoyaona au kukutana nayo pale roho zilipokuwa katikati ya kuzimu na dunia.

Lakini pia habari nyingine zinasema kuwa watu wanapokuwa katika kipindi hicho,wengi
- huona maisha yao yakipita mbele ya macho yao kama sinema
-wengine mabaya yao hujifunua na kuyasimulia bila kujua
-wengine huomba msamaha
-wengine huomba msaada
-wengine hujiona wakienda mbali sana
Wengine huona moto, malaika au viumbe wa ajabu
Kwa ujumla wake hali hii huelezewa kama hari za kifo...ni kipindi kigumu mno kwa wale wanaokutana na hizi mambo.

Lakini kuna wengine hufa wakiwa usingizini kwa amani kabisa wala bila kujitambua kuwa wamekufa , hawa nyuso zao huonekana zimetulia kabisa ni kama wamelala.

Kitu cha ajabu ni wale wafao huku hari za kifo zikiwaandama nyuso hukunjamana na kubaki na maumivu hata baada ya roho kuachana na mwili.

Usiwe mtu wa vinyongo Usiwe mtu wa dhuluma Usiwe mtu wa visasi Usiwe mtu wa rohombaya, vitu hivi huzalisha roho zitakazokutesa mpaka kifo....kama una nyongo umezihifadhi tumboni jitahidi kuzitapika usiku huu..ya kesho huyajui
Uko sahihi mkuu, yatupasa kutafakali sana mienendo yetu pamoja na roho zetu zipoje,.
 
ile we jamaa sijui kichwa chako kina GB ngap? mana mi changu kipo empty lakn still nikipiga book mambo yanatema yan. duh
 
Niandikapo mistari hii kuna watu wanakufa wengine watakufa baadae wengine usiku mwingi dunia ikiwa tulivu wengine kesho na kuendelea...mbele yao nyuma yetu

Kitu cha kushangaza kutoka wale walionusurika kifo ni simulizi zao za yale waliyoyaona au kukutana nayo pale roho zilipokuwa katikati ya kuzimu na dunia.

Lakini pia habari nyingine zinasema kuwa watu wanapokuwa katika kipindi hicho,wengi
- huona maisha yao yakipita mbele ya macho yao kama sinema
-wengine mabaya yao hujifunua na kuyasimulia bila kujua
-wengine huomba msamaha
-wengine huomba msaada
-wengine hujiona wakienda mbali sana
Wengine huona moto, malaika au viumbe wa ajabu
Kwa ujumla wake hali hii huelezewa kama hari za kifo...ni kipindi kigumu mno kwa wale wanaokutana na hizi mambo.

Lakini kuna wengine hufa wakiwa usingizini kwa amani kabisa wala bila kujitambua kuwa wamekufa , hawa nyuso zao huonekana zimetulia kabisa ni kama wamelala.

Kitu cha ajabu ni wale wafao huku hari za kifo zikiwaandama nyuso hukunjamana na kubaki na maumivu hata baada ya roho kuachana na mwili.

Usiwe mtu wa vinyongo Usiwe mtu wa dhuluma Usiwe mtu wa visasi Usiwe mtu wa rohombaya, vitu hivi huzalisha roho zitakazokutesa mpaka kifo....kama una nyongo umezihifadhi tumboni jitahidi kuzitapika usiku huu..ya kesho huyajui
Mshana Ww ni mtu wa rohoni sana
 
Back
Top Bottom