Hawa God's wapo wangapi? by the way don't believe everything u read.
Hata hiki kitu kinachoitwa kuchanjia muku sio kizuri sana roho hutoka kwa ugumu sana na vibweka haviishi mpaka makaburiniMmmh! Wengine tunalala wenyewe mkuu.. Kuna siku nilishuhudia nyoka mkubwa akiwa ndani ya kaburi watu tukachangukana na kumuacha marehemu.. Cha Ajabu tuliporudi tukakuta nyuki ndani ya kaburi badala ya nyoka... Ilitokea HANDENI hili tukio lilinifanya niwe mtu wa kushtuka kwa miaka kadhaa
Matola you either don't understand English or uandishia wako umejawa na mhehemko. Nkuba25 did not say/write Gods rather he/she wrote God's - here the exclamation mark and S represent "Possession case" and not plural form of God.Hawa God's wapo wangapi? by the way don't believe everything u read.
Hivi vinaitwa viherehere, inawezekana hata hujui kati ya kiboko na mamba nani kiboko majini?Matola you either don't understand English or uandishia wako umejawa na mhehemko. Nkuba25 did not say/write Gods rather he/she wrote God's - here the exclamation mark and S represent "Possession case" and not plural form of God.
Kwamba Kayumba ndio Saint wanafundisha uandike senti?Mkuu hata senti kayumba wanafundisha kutofautosha God's na Gods
Sawa Mkuu, asante kwa somo zuri.Sorry ni typing error nilimaanisha nyongo
Mshana Jr katika ubora wake.Niandikapo mistari hii kuna watu wanakufa wengine watakufa baadae wengine usiku mwingi dunia ikiwa tulivu wengine kesho na kuendelea...mbele yao nyuma yetu![]()
Kitu cha kushangaza kutoka wale walionusurika kifo ni simulizi zao za yale waliyoyaona au kukutana nayo pale roho zilipokuwa katikati ya kuzimu na dunia
Lakini pia habari nyingine zinasema kuwa watu wanapokuwa katika kipindi hicho,wengi
- huona maisha yao yakipita mbele ya macho yao kama sinema
-wengine mabaya yao hujifunua na kuyasimulia bila kujua
-wengine huomba msamaha
-wengine huomba msaada
-wengine hujiona wakienda mbali sana
Wengine huona moto, malaika au viumbe wa ajabu
Kwa ujumla wake hali hii huelezewa kama hari za kifo...ni kipindi kigumu mno kwa wale wanaokutana na hizi mambo
Lakini kuna wengine hufa wakiwa usingizini kwa amani kabisa wala bila kujitambua kuwa wamekufa , hawa nyuso zao huonekana zimetulia kabisa ni kama wamelala.....!!! Kitu cha ajabu ni wale wafao huku hari za kifo zikiwaandama nyuso hukunjamana na kubaki na maumivu hata baada ya roho kuachana na mwili
Usiwe mtu wa vinyongo Usiwe mtu wa dhuluma Usiwe mtu wa visasi Usiwe mtu wa rohombaya, vitu hivi huzalisha roho zitakazokutesa mpaka kifo....kama una nyongo umezihifadhi tumboni jitahidi kuzitapika usiku huu..ya kesho huyajui
) na mie
Kwanza good morning Mc ZipompapompaMshana Jr katika ubora wake.
Mkuu mimi binafsi zile habari zako za kishirikina huwa sizipendi kabisa ila hili nina kamchango na labda kwa manufaa mapana ya wana JF hebu tufafanulie kwa mtazamo wako however your opinion does not represent the truth about death philosophy.
1. Ktk moja ya thread zako Unasema kifo is a good thing kwasababu ndio kinacho tu-transform kutoka Ktk maisha haya to the next life, lakini kwa mujibu wa well documented religious books (mainly Christian and Islam ) death looks and it is indeed a painful process and a bad thing.
Facts; anglia Yesu walipomsulubisha alipofikia kukata roho kwa uchungu na huzuni akasema "eeh baba kama inawezekana basi uniepushe na kikombe hiki" lakini kama ni mapenzi yako yatimie, na ikumbukwe huyu alikuwa assured to go to heaven(though kuna waliojitoa ufahamu kuwa yeye ndo Mungu mwenyewe)yet he was not ready to face death
In Islam through authentic hadith, prophet Mohammad (SAW) Wakati yuko sakarati li-mauti alijawa na huzuni huku jasho ikimtoka na kipenzi chake malaika jebril alishuka kumuangalia nabii - llah kwa huzuni Wakati wa kukata roho, again huyu nae despite being God's prophet yet death was a bad experience!
Sasa Mkuu hebu niambie how death become a good thing if these two God's prophets were afraid of death seuze wewe mshirikina (![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
) na mie
2. Huu uzi wako tunaojadili sasa kwa maoni yangu ni contrary na ule mwingine au kwamaana nyingine unakubaliana na hiyo fact hapo juu
Pls hebu fafanua. Mwisho onyo au angalizo kwa wana JF Mshana Jr sio mshirikina kama nilivyesema hapo juu it's just a joke in connection with most of his thread. I respect this gentleman
Mshana namuomba huyu mbimbinho kule upande wa pili..Mkuu hata senti kayumba wanafundisha kutofautosha God's na Gods