HahahahKwa sisi tuliodhurumiwa mamilioni ya pesa ni ngumu hadithi hii kuielewa, mimi i can wait for proper revenge hata miaka 20.
Je ulishawahi kufa?
...
Usiwe mtu wa vinyongo Usiwe mtu wa dhuluma Usiwe mtu wa visasi Usiwe mtu wa rohombaya, vitu hivi huzalisha roho zitakazokutesa mpaka kifo....kama una nyongo umezihifadhi tumboni jitahidi kuzitapika usiku huu..ya kesho huyajui
That 's is of possession and not of pluralHawa God's wapo wangapi? by the way don't believe everything u read.
Mammaaaaa! Shikamoo mshana jr kwa hiyo unatujua wote pamoja na hiz fake ID. Maana utakuwa kiroho zaidKuna tafsiri nyingi katika hili naweza kusema ndio au hapana ila ukiniuliza kama nilishawahi kufika kuzimu nitasema ndio
Kuna kitu kinaitwa mjuaji mpe ushindi. ..nitaielezea kwa kirefu kesho