blandina mushi
Member
- Apr 11, 2017
- 18
- 35
- Thread starter
- #21
Umeshampata?Mm naitwa blandina nilishawai kuandika status yangu nikiwa natafuta Mme sikuwa natania nilikuwa serious ila nimepitia sms za wengi wanafanya jok sana siyo kila mtu anae andika anatafuta Mme au mke. Ni mjinga au Malaya wengine tuna heshima zetu ila mpenz au Mme au mke. Uwezi juwa utakutana nae wapi kwaiyo msiwe mnazarau status za watu plz
Sent using Jamii Forums mobile app
u r # plseMm naitwa blandina nilishawai kuandika status yangu nikiwa natafuta Mme sikuwa natania nilikuwa serious ila nimepitia sms za wengi wanafanya jok sana siyo kila mtu anae andika anatafuta Mme au mke. Ni mjinga au Malaya wengine tuna heshima zetu ila mpenz au Mme au mke. Uwezi juwa utakutana nae wapi kwaiyo msiwe mnazarau status za watu plz
Sent using Jamii Forums mobile app
kumeshajaa huko nadhani hata mimi
Muulize kama alipitia neseji zote ama amekonclude tu.aisee hebu acheni 'zalau' basi
Muanike maana hao ndio wanasababisha tunakosa fursa wengine hapa.Tena wengi humu ni waongo balaa, yaan humu kuna.watu wameoa kbs lkn wanajifanya hawajaoa. Kuna mmoja mie huwa namfuatilia sana kila mara anadanganya na wadada kibao wanajitokeza.
Najua atakuwa ashawaliza wengi, ipo siku yake ntakuja kumuanika humu hadi hataamini.