Watu awako serious

Mm naitwa blandina nilishawai kuandika status yangu nikiwa natafuta Mme sikuwa natania nilikuwa serious ila nimepitia sms za wengi wanafanya jok sana siyo kila mtu anae andika anatafuta Mme au mke. Ni mjinga au Malaya wengine tuna heshima zetu ila mpenz au Mme au mke. Uwezi juwa utakutana nae wapi kwaiyo msiwe mnazarau status za watu plz

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshampata?
 
Mm naitwa blandina nilishawai kuandika status yangu nikiwa natafuta Mme sikuwa natania nilikuwa serious ila nimepitia sms za wengi wanafanya jok sana siyo kila mtu anae andika anatafuta Mme au mke. Ni mjinga au Malaya wengine tuna heshima zetu ila mpenz au Mme au mke. Uwezi juwa utakutana nae wapi kwaiyo msiwe mnazarau status za watu plz

Sent using Jamii Forums mobile app
u r # plse
 
Ni kweli Blandina, huko uliko umekosa King'asti....!?

Pole sana, nakushauri ungetumia ule mtandao wa vijana (Fb) tupia na Mapicha yako, nina imani utawapata tu...

Huku JF, Vidume wengi tu-waoga na watu Wasiojulikana..!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tena wengi humu ni waongo balaa, yaan humu kuna.watu wameoa kbs lkn wanajifanya hawajaoa. Kuna mmoja mie huwa namfuatilia sana kila mara anadanganya na wadada kibao wanajitokeza.
Najua atakuwa ashawaliza wengi, ipo siku yake ntakuja kumuanika humu hadi hataamini.
 
Tena wengi humu ni waongo balaa, yaan humu kuna.watu wameoa kbs lkn wanajifanya hawajaoa. Kuna mmoja mie huwa namfuatilia sana kila mara anadanganya na wadada kibao wanajitokeza.
Najua atakuwa ashawaliza wengi, ipo siku yake ntakuja kumuanika humu hadi hataamini.
Muanike maana hao ndio wanasababisha tunakosa fursa wengine hapa.
 
Nimekusoma. Blandina mwenyewe nimetafuta mke uku karibu mara mbili naona kimya wakati nipo sirias jaman wadada mko wapi naitaji mwanamke ambaye yupo sirias na maisha umri 20 & 22
 
Lasagna,ushapata mchumba weyee?
Kama bado mi nipo,maana nawapenda sana wanawakr toka tanga atiii.
 
Mimi nakushauri kuna mshikaji ametoa namba yake hapi juu huyo ndio yuko serious ukishindwa kwa huyo hutapata mwingine. Mimi humu naangalia tu coz bado mdogo mie. mkubwa Ndio huyo kajitokeza.
 
tatizo ni watu wasiojulikana ...

ila weka bidii kutafuta utapata
 
Tatizo namna unawasilisha ujumbe wako unaonekana hauko serious, huwezi kuandika sentesi moja tu nataka mume halafu watu wakuchukulie serious.
 
Back
Top Bottom