blandina mushi
Member
- Apr 11, 2017
- 18
- 35
Mm naitwa blandina nilishawai kuandika status yangu nikiwa natafuta Mme sikuwa natania nilikuwa serious ila nimepitia sms za wengi wanafanya jok sana siyo kila mtu anae andika anatafuta Mme au mke. Ni mjinga au Malaya wengine tuna heshima zetu ila mpenz au Mme au mke. Uwezi juwa utakutana nae wapi kwaiyo msiwe mnazarau status za watu plz
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app