Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,491
- 19,323
Tanzania ni nchi ambayo watoto wake wengi hawana future kabisa; wala hawafundishiwa kuwa binadamu wengi wa leo hawaishi kwenye mapango au chini ya miti.
Standard Three pupils of Chinyarira Primary School in Nanyumbu District, Mtwara Region, while away the time outside their classroom, as captured by our correspondent yesterday. (Photo:Correspondent Happy Severine)
Hiyo ndiyo halisi ya watoto wengi wa kitanzania. Ni wale wachache tu ambao wazazi wao walifaidika, kama Kikwete na Lowassa, kutokana na uongozi wa Nyerere wakapata elimu nzuri ya bure ndio leo wanaofaidi elimu nzuri katika shule za binafsi!!!
View attachment 27287
Standard Three pupils of Chinyarira Primary School in Nanyumbu District, Mtwara Region, while away the time outside their classroom, as captured by our correspondent yesterday. (Photo:Correspondent Happy Severine)
View attachment 27287