Hilo nalo ni chaka mojawapo la wizi.Kwa nini asitajwe? Hakuna msaada kwa serikali unaokuwa wa siri labda uwe wa dhana za kijeshi au vifaa vya usalama tuu
Kila nafsi itaonja mauti..!Hili la BIMA YA AFYA KWA WATOTO wote watakaofika kwa Makonda ni jambo kubwa la kupongezwa na kuungwa mkono..!
Tangazo alilotoa kuwapatia Bima ya matibabu Watoto waliotelekezwa na Baba zao ni jambo Jema sana ,SANA TU.kwa ustawi wa watoto hao.
Kwa mtazamo mfupi waweza sema ni zoezi linalolenga kukomoa..!yapasa kujiuliza nani hasa anakomolewa?Ni baba aliyetelekeza..!Pengine alikuwa (sina hakika sana)mzinzi,muasherati..!bila kumwangalia mtoto aliyetelekezwa!ambaye ana maisha marefu mbele..!watu tumefikia hatua kuwatetea watelekezaji?wengine ni wazinzi na waasherati?hili ni aibu kweli.
Kwa BIMA YA AFYA KWA WATOTO...Big up MAKONDA.
Ndio maana tunasema siasa imewaingia mpaka kusiko ingilika. Kama unashindwa kutenga suala binafsi na shughuli ya ofisi ya umma sasa una haja gani ya kuwa mchangiaji JF? Why usiwe huko FB na wenzako wa hali yako?
Kama ndio hivyo mbona ma-RC wa mikoa mingine hawapati? uwe na uhakika na usemachoKwa mafungu yote ya local goverment mkuu unayajua usihukumu moja kwa moja wakati ushahidi kamili huna labda kama unaushahidi kamili.
Usichanganye mada mkuu..!BIMA YA AFYA KWA WATOTO Wote ni jambo Jema!Achilia jambo mbali jambo hili kafanya nani?hata angekuwa ni GODBLES LEMA kafanya basi angepongezwa..!sasa izo hela zimetoka wapi ni jambo lingine la kupata ufafanuzi tu..!Akili ya kuambiwa, changanya na za kwako. "Big up" kwa lipi? Nani atailipa hiyo bima na kwa bajeti ipi? Ni zoezi endelevu (sustainable) au pambio la kisiasa kutafuta front page? Unakubali kuhadaiwa karne hii kwa propaganda zisizo na mashiko! Mwl. Nyerere alisema "mtu akikuambia kitu cha kijinga, na anajua kuwa wewe unajua ni cha kijinga, lakini wewe ukakikubali, basi anakudharau". Usikubali kudharaulika kienyeji hivi hata na mtu wa "fa fa fa" form 4!!!
Dhana za kijeshi ndio nini?Kwa nini asitajwe? Hakuna msaada kwa serikali unaokuwa wa siri labda uwe wa dhana za kijeshi au vifaa vya usalama tuu
Hilo ni swali la msingi sana. Nasikia kuna "mfadhili" eti amejitolea kulipia gharama za bima bila kujali idadi ya watoto. Nafikir tunahitaji kumfahamu huyo mfadhili...Ni kweli kabisa kuhusu bima ya afya juu ya watoto hao ni jambo jema sana.Ila upande wangu najiuliza hilo fungu linatoka katika bajeti ipi? ...litatoka serikalini?, ni fedha za mkuu wa mkoa? au ni fedha za wahisani?
Nenda tume ya maadili kalalamikeSio neno LA kigeni, but hakuna mahali popote katika mafungu ya local govt ambako RC ni Accounting Officer
Usichanganye mada mkuu..!BIMA YA AFYA KWA WATOTO Wote ni jambo Jema!Achilia jambo mbali jambo hili kafanya nani?hata angekuwa ni GODBLES LEMA kafanya basi angepongezwa..!sasa izo hela zimetoka wapi ni jambo lingine la kupata ufafanuzi tu..!
Ushauri wa kipuuzi!Nenda tume ya maadili kalalamike