Watoto waliotelekezwa kupatiwa bima ya afya

...Je watalipiwa kwa mwaka huu tu au wataendelea kulipiwa hadi wafikishe miaka 18 ?
Nadhani ni jambo jema ukizingatia wengi wa hawa watoto ni wagonjwa. Pia wababa nao watajifunza kuwa kumbe kuna kudhalilika
 
Maswala kama haya ni ya kushughulikiwa na ustawi wa jamii na mahakama kando ya taasisi za dini, sio jukumu la Makonda.

Yeye ana tuhuma zake na bado hajazitolea majibu. Anapenda sana kurukia sakata ili kujipatia umaarufu feki.

Sasa usishangae hapo kuna wanasiasa wa upinzani labda na viongozi wa kidini wanaopenda kuikosoa hii serikali ndio walengwa. Worthless Exercise Indeed.
Ustawi wa jamii si ni idara moja ndani ya ofisi ya mkuu wa mkoa au iko chini ya meyor?
 
Jamani tumieni Condom au withdrawal method au piga uani ili mimba isipatikane.. Piga mashine uani maana mimba ikipatikana ndio matatizo yote haya huanza.. Ruka ukuta au tumia Condom, maana tatizo sio starehe tatizo ni mtoto akizaliwa. Acheni kufanya ngono zembe bila kufikiri hata kidogo kama kuku
Kweli kabisa kuanzia sasa ni kupiga uani kwa kwenda mbele kama yule shekh wa mange kimambi
 
Anaangaika na watu ambao wana uwezo wakuwahudumia watoto wao ... Hakumbuki kuwa kuna watoto ambao wapo mitaan hawana baba wala mama (yatima) nao wanahtaj msaada mkubwa zaid.
Akimaliza hao pia tumwambie kuwa wapo wa mtaani pia wanaitaji msaada.

Mbona wengi mnaonekana kuchukuzwa na hili zoezi? mnaogopa kuitwa? :D :D :D
 
Good move BUT RC wangu hili fungu la pesa utakayotumia kukata hizi Bima lilishaidhinishwa na vikao halali?please nieleze chanzo cha pesa hii itakayotumika?ushauri mdogo pls tumia muda ambao tunakulipa kwa gharama kubwa kama RC WANGU kusukuma maendeleo ya mkoa ,mkoa unakabiliwa na changamoto nyingi mno,ukosefu wa maji salama,uduni wa miundo mbinu(angalia msingamano mkubwa wa private cars),huduma duni za kiafya,na jambo linalonikera sana la wasichana wengi kupoteza muda wao wa masomo wanapokuwa katika MPs,sanitation pads zingesaidia mno hasa kwa kuanzisha viwanda vidogo vidogo vya kutengeneza hizi hasa zile unaweza kuzitumia tena(zinafulika na sabuni).achana na siasa uchwara zinakudhalilisha mno.
 
Pesa za local gvt matumizi yote huidhinishwa na baraza la madiwani hili tungeshalisikia
Hawa wanataka kutuaminisha yakuwa hakuna kinachoweza shindikana kikisemwa na DAB wanajisahaulisha kabisa kama kuna sheria za hicho wanachokiongea.
 
TSH milioni 250 zimetengwa kwa ajili ya kukata bima ya afya kwa watoto zaidi ya 5,000 wenye umri chini ya miaka 17 ambao wametelekezwa na wazazi wao.

Wakati huo huo WANAUME 18 kati ya waliofika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam na kuhojiwa kuhusu kutekeleza watoto wamekubali kupimwa vinasaba (DNA) na Mkemia Mkuu wa serikali.

Chanzo: NIPASHE
 

Attachments

  • IMG_20180413_083054.jpg
    IMG_20180413_083054.jpg
    178.9 KB · Views: 19
  • IMG_20180413_083249.jpg
    IMG_20180413_083249.jpg
    199.1 KB · Views: 19
Makonda ametangaza kuwa watoto wote wa Dar waliotelekezwa na kwenda kwake watalipiwa Bima ya afya na ofisi yake.
Ni jambo jema, lakini ni vyema basi serikali iwe na uwazi na kusema fedha hizo ni za fungu gani au zinatoka wapi?
Sio jambo jema kusikia kama yale kuwa ofisi za Bakwata zinajengwa na fedha za Mkoa kisha Habari zinazagaa kuwa ukweli ni kwamba GSM ndio wafadhili wa mradi huo.
Hii ni namna Mpya ya corruption ambayo imeingia nchini ambayo tumekuwa tunasikia nchi kama Italy, Hispania, Israel nk wakuu wao walijikuta wakiingia kwenye kashfa ya rushwa kwa kukosa uwazi.


CAG: Shilingi bilioni 219. 47 zilitumika nje ya bajeti

Mkuu nnahisi zinatoka humu..
 
..watoto wote waliotekelezwa watapata bima za afya?

..au watakaopatiwa bima hizo ni wale tu waliofika ofisini kwa mkuu wa mkoa?
 
Mkuu si umesikia mchakato unaanzia kwanza kwa DAB, na yeye ndio anauendesha. Nasikitika sana kusikia ameweka masharti yanayojumuisha kupima DNA na udhalilishaji mwingi.
Kwan hukuniona mitandaoni nikiwa ilala boma na mtoto wangu mgongoni ?
 
Back
Top Bottom