Hapo si ajabu katembea na gari umbali mrefu mpaka anaimaliza hiyo fanta,shughuli ipo kwenye kurudi home maana hapo tumbo ni ndi ndi ndi (siyo ya jide lakini).
Huyu naye amezidi, enzi zetu tulichojua vizuri ni kukwepa tu mijibwa ya majirani na kukwea miembe, mipera na miparachichi ya wenyewe. Wala hatukuwa tunabeba chochote, tulikuwa tunayafanyia haki tukiwa huko huko juu ya miti kama ngedere. Tukishashiba misheni ni hadi kule mtoni kuwachungulia kina antii wakioga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.