Watoto wa siku hizi....

Watoto wa siku hizi....

Nilikuwa na msaidizi wa kazi za nyumbani. Kutokana na majukumu mengine ya kifamilia ikamlazimu aache ila akaniletea mdogo wake.

Huyu mtoto ana umri kati ya miaka 18-20. Dah huyu mtoto ananisumbua balaa! Kwanza alikuwa ananiamkia, ghafla ameanza mambo vipi. Mara nikirudi anataka aingie ndani anipikie(huwa anafanyakazi nje sio ndani,basically nyumba iwe na mtu nikitoka)

Sasa amekuwa so aggressive, siku chache zilizopita nimerudi ananilazimisha nitoke nae 'tukatembee' namwambia nimechoka na kazi eti anasema kazini unakaa kwenye kitu tu unachokaje!

Kali kuliko ni juzi jumamosi nimerudi nikamwambia jpili na jtatu nipo kwahio aje jumanne asubuhi. Akaniambia sawa ila jumatatu Eid njoo nikupikie chakula kitamu, nikajibu sawa,sikutaka Stori ndefu! Sasa hivi kaniibukia eti kwanini hukuja mpaka saa hizi basi nimekuja mimi! Nimemwambia nina wageni ameondoka! Alivyovaa sasa Mungu anamuona!
.
tapatalk_1565745865485.jpeg
 
hata clinton alishindwa kwa monica lewensky, umetoa ajira chonganishi ulitegemeaje, inaonesha unainjoi kucheza na hisia zake...unyanyasaji wa kijinsia huo!
 
Hako ni katoto kadogo, bado kunahitaji kukuzwa na kuongozwa. Watu wanasema ukale lakini sio sawa(sisi wenye watoto wadogo tunaelewa)
 

ama kweli....mnofu unaondoka hivi hivi
😛😛😀😀😀😀😀😀 acha uondoke tu mkuu msala wake ni zaidi ya huo mnofu kesho jamaa ata kuja na thread wife kabeba kila kitu ndani kasepa kamwacha yeye na mnofu wake😛😛😛
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom