Watoto wa siku hizi....

Watoto wa siku hizi....

tafuna mtoto huyo ila sasa ka hujaoa mzee angalia ndo litakuwa jiko hilo,
NB: awe kisu kweli kwel ndo umugegede.
 
Nilikuwa na msaidizi wa kazi za nyumbani. Kutokana na majukumu mengine ya kifamilia ikamlazimu aache ila akaniletea mdogo wake.

Huyu mtoto ana umri kati ya miaka 18-20. Dah huyu mtoto ananisumbua balaa! Kwanza alikuwa ananiamkia, ghafla ameanza mambo vipi. Mara nikirudi anataka aingie ndani anipikie(huwa anafanyakazi nje sio ndani,basically nyumba iwe na mtu nikitoka)

Sasa amekuwa so aggressive, siku chache zilizopita nimerudi ananilazimisha nitoke nae 'tukatembee' namwambia nimechoka na kazi eti anasema kazini unakaa kwenye kitu tu unachokaje!

Kali kuliko ni juzi jumamosi nimerudi nikamwambia jpili na jtatu nipo kwahio aje jumanne asubuhi. Akaniambia sawa ila jumatatu Eid njoo nikupikie chakula kitamu, nikajibu sawa,sikutaka Stori ndefu! Sasa hivi kaniibukia eti kwanini hukuja mpaka saa hizi basi nimekuja mimi! Nimemwambia nina wageni ameondoka! Alivyovaa sasa Mungu anamuona!
hukumpiga hata picha mkuu tuone alivyo vaa
 
Huyo ni mtoto au mkubwa mwenzio anajipendekeza zali la mentali limuangukie?

Ana akili timamu tena pengine ni member wa JF anajua wewe ni senior bachelor.

Hapo pengine ushalishwa na kuwekea vitu vya ajabu kaona havifanyi kazi kaamua kuwa aggressive.

Sijui unasubiri nini kumfukuza na red flags zote umezishaona.
Aiseeee jf shikamoo
 
Sasa ndiyo ugundue wao wameumbwa na soni kutongoza kwao ndiyo hivyo. ..

Kinyume chake Wa kiume angebaka au kulazimisha. Kwanini usitafute wa kiume?

Wewe huna kabisa shangazi anayekuja hapo frekwentiliiii
Ndugu siku hizi uki ishi na kijana wa kiume kama msaidizi wa Kazi na huna mke watu wataisi unamfira kwasababu nyote ni jinsia ya kiume
 
Kuweka heshima ni kumgegeda? Hell no...sitembei na watoto. Naweka heshima kwa kutotembea nae.
We nae unaonekana unafurahia michezo yake na inakufurahisha haswa ilameamua kulileta humu ili tujue kwamba kuna katoto kanakupelekesha mperampera mikono juu mwendo wa mateka.maana umeulizwa kuwa umelileta humu ili tukushauri au umegoma haya umeambiwa nini cha kufanya bado unagoma sasa amua mwenyewe hukohuko maana unakafuga mwenyewe utajiju nako hukohuko
 
Hako ni ka " KONKI" Cha uswahilini, hapo umetegeshwa tiyari, unakuta mama , baba na mashangazi tiyari wameshajua mtoto kapata jiko na hapo unawindwa kwa kila mbinu hata makombora ya kienyeji unaweza kudhani kapo peke yake kumbe kuna jeshi la makungi wapo nyuma yake. Kama ulishaapa eti nitaoa msomi mwenzangu ndivyo baadhi ya watu wamejikuta kwenye ndoa za malimbwata. Ukijaribu kula chakula alichopiga ama ukikubali kakuvulie uonye hilo embe mawazo lake umekwisha.
Kha jaman nimecheka eti ni kakonki
 
Kwani una cheti chake cha clinic? 18-20 ana utoto gani? Hata sheria zinamtambua ni mtu mzima huyo.
Hako ndio kazuri, unakakuza taratiiibu huku mnakula mafao.
Hahahahahahahahahahahahahahaha jf sihami eti una cheti chake cha clinic
 
Ndugu siku hizi uki ishi na kijana wa kiume kama msaidizi wa Kazi na huna mke watu wataisi unamfira kwasababu nyote ni jinsia ya kiume
Kwa kweli dunia imeharibika, siku hizi hata ukienda gesti watu wawili wa jinsia moja hamruhusiwi kupanga chumba kimoja
 
Yani hutu tutoto shidaaaa,ngoja nifungue thread ya kisa nilichonacho.
 
We nae unaonekana unafurahia michezo yake na inakufurahisha haswa ilameamua kulileta humu ili tujue kwamba kuna katoto kanakupelekesha mperampera mikono juu mwendo wa mateka.maana umeulizwa kuwa umelileta humu ili tukushauri au umegoma haya umeambiwa nini cha kufanya bado unagoma sasa amua mwenyewe hukohuko maana unakafuga mwenyewe utajiju nako hukohuko
Wewe mhaya au mzaramo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom