Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 2,998
Wazazi tuache kuwadekeza watoto wetu ndo Mana matukio ya ubakaji na ulawiti yanaongezeka.
Leo nimeenda kumtembelea jirani yangu ni family friend nimemkuta yupo sebuleni na mtoto wake wa kiume wa darasa la sita afu mama amekaa kihasara tu mtoto anayaona mapaja ya mzazi wake baada ya kuingia Mimi ndo anajiweka vizuri ni malezi gani kwa mtoto wa kiume wazazi hasa wamama wajitafakari.
Single mother na nyie mna yenu sio kwamba tunawasema Sana mbadilike malezi yenu uzungu mwingi. Kuna jirani yangu ni single mother mtoto wake kila anachotaka yeye ni kumnunulia asililie kitu mtoto yuko nursery school wiki nzima mtoto hataki kwenda shule na mama yake anamchekelea tu sio malezi tunawapenda watoto wetu tuwalee na tuwape malezi kwa limit, samahani Kama nimekukwaza ukweli lazima tuambiane.
Na sisi wakina baba tunakosea tushirikiane na wake zetu kwenye malezi Mambo yasiofaa tuyakemee na tuache tabia ya kuvaa nusu uchi upo sebulani umekaa na watoto zako wa kike umevaa kibukta afu uko tumbo wazi haipendezi.
Wazazi, walezi, walimu,viongozi wa dini nk tushirikiane kwenye malezi ya hawa watoto wetu. Usipo muona mtoto kwa muda au hayupo mazingira ya nyumbani jiulize Yuko wapi uko aliko yupo salama na anafanya Nini.
TV, simu ni muhimu kwa watoto kama watajifunza ya maana tusiwaachie tu watoto waangalie wanachotaka
Nakumbuka home kipindi tuko wadogo ni kosa kubwa umekutwa unaangalia channel za tv zisizo na maadili Kama Trace nk au umeweka cd, vhs zenye age above 18+ inafanya watoto wadogo wafanye Yale wanayoyaona kweny tv, cm nk
Mtoto wa siku akiamka asubuhi hasa siku za wikiend Cha Kwanza kwenye tv kaweka channel anayotaka anaangalia bila wasiwasi enzi zetu muda kuangalia tv ulikuwa ni saa 4 asubuhi baada kumaliza kazi.
Malezi bora ni msingi mzuri wa watoto wetu kataa kudekeza. Tuwalinde watoto wetu.
Leo nimeenda kumtembelea jirani yangu ni family friend nimemkuta yupo sebuleni na mtoto wake wa kiume wa darasa la sita afu mama amekaa kihasara tu mtoto anayaona mapaja ya mzazi wake baada ya kuingia Mimi ndo anajiweka vizuri ni malezi gani kwa mtoto wa kiume wazazi hasa wamama wajitafakari.
Single mother na nyie mna yenu sio kwamba tunawasema Sana mbadilike malezi yenu uzungu mwingi. Kuna jirani yangu ni single mother mtoto wake kila anachotaka yeye ni kumnunulia asililie kitu mtoto yuko nursery school wiki nzima mtoto hataki kwenda shule na mama yake anamchekelea tu sio malezi tunawapenda watoto wetu tuwalee na tuwape malezi kwa limit, samahani Kama nimekukwaza ukweli lazima tuambiane.
Na sisi wakina baba tunakosea tushirikiane na wake zetu kwenye malezi Mambo yasiofaa tuyakemee na tuache tabia ya kuvaa nusu uchi upo sebulani umekaa na watoto zako wa kike umevaa kibukta afu uko tumbo wazi haipendezi.
Wazazi, walezi, walimu,viongozi wa dini nk tushirikiane kwenye malezi ya hawa watoto wetu. Usipo muona mtoto kwa muda au hayupo mazingira ya nyumbani jiulize Yuko wapi uko aliko yupo salama na anafanya Nini.
TV, simu ni muhimu kwa watoto kama watajifunza ya maana tusiwaachie tu watoto waangalie wanachotaka
Nakumbuka home kipindi tuko wadogo ni kosa kubwa umekutwa unaangalia channel za tv zisizo na maadili Kama Trace nk au umeweka cd, vhs zenye age above 18+ inafanya watoto wadogo wafanye Yale wanayoyaona kweny tv, cm nk
Mtoto wa siku akiamka asubuhi hasa siku za wikiend Cha Kwanza kwenye tv kaweka channel anayotaka anaangalia bila wasiwasi enzi zetu muda kuangalia tv ulikuwa ni saa 4 asubuhi baada kumaliza kazi.
Malezi bora ni msingi mzuri wa watoto wetu kataa kudekeza. Tuwalinde watoto wetu.