Watoto wa kweli wa mjini

Watoto wa kweli wa mjini

Eric Cartman

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2009
Posts
11,960
Reaction score
11,221


Watoto wa mjini Dar waliamshwa na magoma hayo.

Kama ukucheza hayo na umri wako wa Sasa ni 40-50 elewa wewe sio wa mjini.

Sitaki kusema majina ya watu wenye majina yao maana leo wapo kivingine.

Otherwise kama ukuyapiga hayo ukiwa Dar elewa we mluga mluga tu sio wa mjini: Vinginevyo wenyewe tunajuana.
 
I will dare anyone anaedhani wamjini kushinda lika hilo.
 


Watoto wa mjini Dar waliamshwa na magoma hayo.

Kama ukucheza hayo na umri wako wa Sasa ni 40-50 elewa wewe sio wa mjini.

Sitaki kusema majina ya watu wenye majina yao maana leo wapo kivingine.

Otherwise kama ukuyapiga hayo ukiwa Dar elewa we mluga mluga tu sio wa mjini: Vinginevyo wenyewe tunajuana.

Noma sana kuna hizi..
Extra Musica(Shalai,obligatoire,Etat major)
Wenge Musica BCBG 4×4 Tout Terrain kabla hawajasambaratika 1997 nazungumzia Wenge ya Kina Blaise bulla,Alain Makaba,JB Mpiana,Werrason,Adolf Dominguez,Ferre gola,Didier Masela wakiwa na Atalaku wao Kina Fully King,Tutu Caludji likipigwa goma la Kalay Boing lazima usimame ucheze au lipigwe Dude lolote la Bozi Boziana na Choc star yake..Hapo ndipo utakubaliana na ile thread ya mdau kwamba watoto wa sasa wananyimwa dana burudani
 


Watoto wa mjini Dar waliamshwa na magoma hayo.

Kama ukucheza hayo na umri wako wa Sasa ni 40-50 elewa wewe sio wa mjini.

Sitaki kusema majina ya watu wenye majina yao maana leo wapo kivingine.

Otherwise kama ukuyapiga hayo ukiwa Dar elewa we mluga mluga tu sio wa mjini: Vinginevyo wenyewe tunajuana.

Mimi mtoto wa mjini na sizijui hizo. Niulize DR Dre,LL cool j,das efx,mobb deep,zhane,Davina,Adina Howard etc
 
Mimi mtoto wa mjini na sizijui hizo. Niulize DR Dre,LL cool j,das efx,mobb deep,zhane,Davina,Adina Howard etc
Mtakuwa mmetofautiana "definition", kwa maelezo yako hapo, unapaswa kuitwa "wakishua, mboga saba, geti kali n.k"

Hizo zilipigwa sehemu zetu, chini kule kabisa, ukibahatika kwenda disco toto, ndo mashindano ya kucheza muziki!

Hizo ulikuwa unasikiliza na mabraza hivi, nini, sio? Nadhani rappers tulionao kwenye industry sasa, waliotoboa wengi ni wale waliobahatika kupita njia kama yako mkuu, unaafiki?
 
Mtakuwa mmetofautiana "definition", kwa maelezo yako hapo, unapaswa kuitwa "wakishua, mboga saba, geti kali n.k"

Hizo zilipigwa sehemu zetu, chini kule kabisa, ukibahatika kwenda disco toto, ndo mashindano ya kucheza muziki!

Hizo ulikuwa unasikiliza na mabraza hivi, nini, sio? Nadhani rappers tulionao kwenye industry sasa, waliotoboa wengi ni wale waliobahatika kupita njia kama yako mkuu, unaafiki?
Umetofautiana sana na wewe, enzi za das efx , zhane etc ni early to mid 90s, wakati huo watu wa rhumba ni boz boziana , kanda bongo man soukous etc
Akina koffi jb mpiana etc, wamekuja kuwika late 90s
Cant beat the hip hop and Rnb era ya mid 90, marehemu Dj ,Rankeem Ramadhan ,had the best play list
 
Umetofautiana sana na wewe, enzi za das efx , zhane etc ni early to mid 90s, wakati huo watu wa rhumba ni boz boziana , kanda bongo man soukous etc
Akina koffi jb mpiana etc, wamekuja kuwika late 90s
Cant beat the hip hop and Rnb era ya mid 90, marehemu Dj ,Rankeem Ramadhan ,had the best play list
Nani walikuwa na access ya kujua hayo miongoni mwa watanzania wengi?

Hapo ndo hoja yangu ilipolalia
 
Mtakuwa mmetofautiana "definition", kwa maelezo yako hapo, unapaswa kuitwa "wakishua, mboga saba, geti kali n.k"

Hizo zilipigwa sehemu zetu, chini kule kabisa, ukibahatika kwenda disco toto, ndo mashindano ya kucheza muziki!

Hizo ulikuwa unasikiliza na mabraza hivi, nini, sio? Nadhani rappers tulionao kwenye industry sasa, waliotoboa wengi ni wale waliobahatika kupita njia kama yako mkuu, unaafiki?
Negative.
 
Nani walikuwa na access ya kujua hayo miongoni mwa watanzania wengi?

Hapo ndo hoja yangu ilipolalia
Kama ulikuwa mjini access ilikuwa kwa kila mtu , sio kwamba hip pop ni ushuani na bolingo uswazi, music taste was randomly shared
 
Mimi mtoto wa mjini na sizijui hizo. Niulize DR Dre,LL cool j,das efx,mobb deep,zhane,Davina,Adina Howard etc
We Kikongwe kidogo sio wa enzi zetu.

Miaka hiyo unyamwezeni ilikuwa ni kutema verse zote za Notorious BIG ‘Juice’, Beef, Junior Mafia ‘get money’ Bad Boys ilikuwa changa.

Hizo ngoma na wasanii unaowaongelea ni miaka ambayo Kusaga anaanzisha Clouds disco, DJ Bonny Love.

Amini usiamini ili disco lichangamke Kusaga mwenyewe ilikuwa lazima alete complementary nyumbani kumkabidhi sister atokee na rafiki zake ndio alikuwa mmoja wa sister duu wao enzi zao.

Baada ya hao watu wako ndio wakaingia kina Koffi Olomide anyway kwa sisi wengine tumeanza kucheza disco tukiwa form two (tukiwa wadogo kwenye kundi) leo ukitaka kuwajua 40’s to 50 years old wapigie hizo; watakupa tu line kila mtu anajifanya ndio anajua kushinda yoyote.

Kwa matozi ilikuwa deal kuangalia full NBA games.
 
Kama ulikuwa mjini access ilikuwa kwa kila mtu , sio kwamba hip pop ni ushuani na bolingo uswazi, music taste was randomly shared
Mji ulikuwa unaanzia wapi, mipaka yake, miaka hiyo ya 80's mpaka 90's?

Unaweza kuamini, watu wamekulia, chukulia radius ya kama km 30, kitovu kiwe kwa Mwalimu pale msasani, ndani ya huo mzingo, hiyo hip hop hawajawahi kuisikia mpaka walipoanza akina Sugu, achilia mbali ule umaarufu wa matukio maalum kama kifo cha 2pac etc?
 
Mtakuwa mmetofautiana "definition", kwa maelezo yako hapo, unapaswa kuitwa "wakishua, mboga saba, geti kali n.k"

Hizo zilipigwa sehemu zetu, chini kule kabisa, ukibahatika kwenda disco toto, ndo mashindano ya kucheza muziki!

Hizo ulikuwa unasikiliza na mabraza hivi, nini, sio? Nadhani rappers tulionao kwenye industry sasa, waliotoboa wengi ni wale waliobahatika kupita njia kama yako mkuu, unaafiki?
Huyo wa getini kweli lakini sio wa mjini. Wa mjini wapo kotekote; hizo nyimbo zake Abdul Msomali anatamba mjini.

Hizo nyimbo zake zote kuziona mpaka ndugu watume video tape kutoka majuu na mtaa mzima mnaazimana.

Zama hizo beat za rappers ni instrumental tu on chart Dr Dre kila rap ya mtu beat hiyo hiyo.

Kwanza unit ndio watu wa kwanza kuja na beat yao original. Halafu kuna ile nyimbo ya ‘Mr Dala dala man’ simkumbukii msanii. Baadae ndio diplomats and the game evolved.
 
Noma sana kuna hizi..
Extra Musica(Shalai,obligatoire,Etat major)
Wenge Musica BCBG 4×4 Tout Terrain kabla hawajasambaratika 1997 nazungumzia Wenge ya Kina Blaise bulla,Alain Makaba,JB Mpiana,Werrason,Adolf Dominguez,Ferre gola,Didier Masela wakiwa na Atalaku wao Kina Fully King,Tutu Caludji likipigwa goma la Kalay Boing lazima usimame ucheze au lipigwe Dude lolote la Bozi Boziana na Choc star yake..Hapo ndipo utakubaliana na ile thread ya mdau kwamba watoto wa sasa wananyimwa dana burudani
Daah old is gold
 
Unacheza wewe

Ulishawahi kwenda mashindano ya Don Bosco walikuwa wanachana rap way before Sugu, way before Tupac first movie ‘Poetic Justice’ and his rap career.

Wakati sisi tupo kwenye Reebok, Mwanafa anava ndala upanga na cousin wake mchina.
 
Watoto wadogo awaelewi ata hip hop scene ilivyoanza bongo.

Hawa sio watu wanaojua scenes za Don Bosco au High Schools Bash za 90’s kama za Jitegemee, Azania na zinginezo kama sehemu ya kuchana kabla ya matamasha waliyonayo leo.

Ubitozi uliokuwa unafanyika ‘Vijana Bascket Ball Club’ kwenye uwanja wa Zanaki Girls secondary.

Sugu, Ay, Prof Jay na wengineo walikuwa ambitious tu kwenye kuukuza muziki; lakini watoto wa upanga na vikundi vyao wameanza kuchana rap way before wao sema ilikuwa hobby tu kwao sio career, zama hizo watu awakuzani wanaweza tengeneza maisha kwa kuimba rap.

Good thing watoto hao hao wa upanga ndio walikuwa washabiki wakubwa wa kwanza wa wasanii wa rap music hadi ulipofika leo kabla ya kupokelewa Tanzania nzima.

Na weekend wanaenda kucheza ndombolo Koffi Olomide police’s mess Oysterbay.

What they know you know about that; I know all about that.
 
Back
Top Bottom