Nyafwili
JF-Expert Member
- Nov 27, 2023
- 2,779
- 6,900
Habari wanaJF, poleni na majukumu ya hapa na pale π€, Hakika mungu ni fundi kama kweli yupo basi azidi kuwa na afya njema huko aliko π, nilipata wasaa wa kutembelea jiji la Tanga, nikazunguka baadhi ya maeneo na vitongoji vyake, ukweli usemwe watoto wa kike kutoka tanga wameumbika kweli kweli:-
|β’ Ni weupe hata kama atakuwa na rangi nyeusi/majikunde lakini ngozi yake ipo mithiri ya mtu aliyejipaka mafuta ya mnyonyo.
||β’ Miili yao imekaa umbo la nyigu, kwa mwanaume aliye kamilika hawezi kuishiwa hamu ya kulamba buyu la asali.
|||β’ Siyo wachoyo, roho zao zimeumbwa kwa ajili ya kuwasaidia wanaume waliopatwa na kiu ya maji, hasa pale wakiwa katika hali ya kijangwa.
|Vβ’ Wakitembea barabarani mijusi na baadhi ya wadudu hutingishika huko maporini.
Muda wa kukaa Tanga umeisha, najisikia vibaya sana kuondoka hili jiji. π€π€π€.
|β’ Ni weupe hata kama atakuwa na rangi nyeusi/majikunde lakini ngozi yake ipo mithiri ya mtu aliyejipaka mafuta ya mnyonyo.
||β’ Miili yao imekaa umbo la nyigu, kwa mwanaume aliye kamilika hawezi kuishiwa hamu ya kulamba buyu la asali.
|||β’ Siyo wachoyo, roho zao zimeumbwa kwa ajili ya kuwasaidia wanaume waliopatwa na kiu ya maji, hasa pale wakiwa katika hali ya kijangwa.
|Vβ’ Wakitembea barabarani mijusi na baadhi ya wadudu hutingishika huko maporini.
Muda wa kukaa Tanga umeisha, najisikia vibaya sana kuondoka hili jiji. π€π€π€.