msomi_wa_zamani Member Nov 27, 2010 16 1 Mar 6, 2011 #1 hawa ni watoto wa Mkulima na mfugaji ndani ya karne 21 Attachments Picture 232.jpg 55.2 KB · Views: 72
Mallaba JF-Expert Member Jan 30, 2008 2,554 47 Mar 6, 2011 #2 chini ya uongozi tukufu wa CCM.na kauli mbiu ya maisha bora kwa kila mdanganyika
Ney wa Barca JF-Expert Member Feb 14, 2011 310 36 Mar 6, 2011 #3 Haya ndio maisha bora tuliyoahidiwa na Serikali yetu tukufu!
msomi_wa_zamani Member Nov 27, 2010 16 1 Mar 6, 2011 Thread starter #4 Ni kweli haya ni maisha bora kwa kila mtanzania, Ila hii ni hali ya vijijini kwetu