Son of Alaska
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 2,812
- 1,054
GEORGE alikuwa ni msomi baadaye aka fyatuka kutwa hutembea na magazeti.Rabiya ulikuwa ukimuuzi ukutemea mate au anakuvulia nguo lazima utoke mbioKarega nasikia ana Ualaza wa Nguvu... lol
Mitaa hiyo alikuwepo Kichaa George na Rabiya yule Mama wa Kihindi Mento..!
Mitaa hiyo karibu na Home kwa Mw. Ndossi... Krokodire Ushuzi wa Mung..
Nangatai Ulishakula wewe? inaelekea na wewe ulikuwa unapenda sana Sun Vita...