A. Ngdk sijasoma nae,
alikua anakaa mitaa gani?
Kamsopi kama wa Mangengesa Mdimi namfahamu hadi kesho,si walikua wanakaa sea view kwenye lile jengo lilikua refu kuliko yote miaka ile? Mule ndio tumejifunzia kupanda lift..
Pia watoto wa Upanga tulikua tunakutana sana Don Bosco na wengine mafundisho St. IMACULATE kwa Fr. Amadori.
Mi nilikaa mitaa hiyohiyo uliyoitaja ila umesahau Lugalo st. Kwa kina Ephraim Kibonde,Manase Zablon,Mtinangi.
Malik Rd kwa kina Telesphory Ndunguru,Undali kina Togani Ngota, Maria Goyayi, Ray Kasonga...
Alykhan kwa kina Koku yule alipata ajali akiwa na Kenedy Seusi akapoteza macho yote.. Unaikumbuka hiyo?