Context izingatiwe
Nivilio kila Kona, wanaume wakiuliza yako wapi mapenzi tuliosimuliwa na Babu zetu. Waliotuhadithia kuwa mapenzi si pesa bali hisia za wawili waliopendana na kuamua kuishi bila kuathiliwa na Hali ya mtu kiuchumi, kijamii, na ata kielimu.
Waliotusimulia simulizi hizi wakifufuka na warudi kwenye ulimwengu wa Leo, si ajabu watajikuta chama watakachoweza kujiunga ni CHAPUTA tu kwani mapenzi imekua bidhaa aghali sana .
Almost girls wote wamekua ombaomba, wote wana njaa, wote hawana Kodi, wote hawana uwezo wa kuhudumia simu , wote hawana nauli kuudhulia makwao kipindi matatizo yanapotoke, wote wanahitaji kwenda salon, wote wanahitaji nguo na vifaa lukuki vya urembo. Bila pesa ukidate nao hutayafurahia mapenzi. Na hata ukijitutumua uwe na uhakika makasiriko hayatakuisha.
Mimi nauliza watoto wa geti kali ambao sifa yenu ilikua ni upendo wa dhati Leo mmeenda wapi???
wanawake wanaotokea familia bora wao walikua wakipenda ndo shughuli imeisha. Atafanya visa vyote ili kupambania penzi la roho. Kitu hiki kimekua hadimu kama kupata bikra uswahilini. Jamani watoto wa geti Kali mpo ?
Nauliza hivi coz ukifanya utalii wa ndani ya nchi hii utaona maendeleo ya vitu. Watu wanaishi nyumba Bora za kisasa , wanatembelea magari makali, wanasoma kwenye shule aghali toka kindergarten hadi elimu ya chuo. Cha kushangaza watoto wa geti Kali hawapo Tena mtaani Ili kuendeleza sifa Yao ya mapenzi ya dhati. Badala yake wote wamekua wadangaji na makuwadi.
Najua mtavamia Uzi huu na kusema acha kulialia tafuta pesa, but I stand with my point ....wako wapi wanawake wenye mapenzi ya kweli ?
Wengine tumejaliwa pesa ,ila tunatamani kuzitumia na wanawake wenye mapenzi ya kweli , Cha kushangaza tunaambulia wadangaji.
Tunahitaji mapenzi na sio utelezi na kumwaga. Ndio maana malaya hawezi ku replace mpenzi. Malaya wako kila mahala ila wanashindwa kutambua hitaji la binadamu ni mahusiano zaidi ya sex.
Mmetugeuza wanaume kuwa kama mateja wa sex. Daily tunafanya mambo mengi hatarishi Ili tupate pesa ya kutafuta mapenzi na badala yake tunaambulia mbunye tu. Mbususu sio mapenzi, mapenzi ni furaha, amani, utulivu, maelewano, mshikamano, urafiki, na mapenzi teletele.
Na kwa sababu mapenzi yamekosekana kilichopo sokoni ni sex tu. Nimasikitiko kuona tunaishi kwenye jamii ambayo wanawake hawana kingine to offer than SEX. This is too sad.
Shime shime watoto wa geti Kali mjitokeze muokoe jamii. Kwa mkutadha wa uzi huu mtoto wa geti kali ni yeyote mwenye mapenzi ya kweli na sio njaa ya PESA. Anaeweza kuthubutu kuingia kwenye mahusiano na ukapita mwezi hajatangaza njaa na shida zake bali kipindi chote hicho lugha yake iwe UPENDO
Nivilio kila Kona, wanaume wakiuliza yako wapi mapenzi tuliosimuliwa na Babu zetu. Waliotuhadithia kuwa mapenzi si pesa bali hisia za wawili waliopendana na kuamua kuishi bila kuathiliwa na Hali ya mtu kiuchumi, kijamii, na ata kielimu.
Waliotusimulia simulizi hizi wakifufuka na warudi kwenye ulimwengu wa Leo, si ajabu watajikuta chama watakachoweza kujiunga ni CHAPUTA tu kwani mapenzi imekua bidhaa aghali sana .
Almost girls wote wamekua ombaomba, wote wana njaa, wote hawana Kodi, wote hawana uwezo wa kuhudumia simu , wote hawana nauli kuudhulia makwao kipindi matatizo yanapotoke, wote wanahitaji kwenda salon, wote wanahitaji nguo na vifaa lukuki vya urembo. Bila pesa ukidate nao hutayafurahia mapenzi. Na hata ukijitutumua uwe na uhakika makasiriko hayatakuisha.
Mimi nauliza watoto wa geti kali ambao sifa yenu ilikua ni upendo wa dhati Leo mmeenda wapi???
wanawake wanaotokea familia bora wao walikua wakipenda ndo shughuli imeisha. Atafanya visa vyote ili kupambania penzi la roho. Kitu hiki kimekua hadimu kama kupata bikra uswahilini. Jamani watoto wa geti Kali mpo ?
Nauliza hivi coz ukifanya utalii wa ndani ya nchi hii utaona maendeleo ya vitu. Watu wanaishi nyumba Bora za kisasa , wanatembelea magari makali, wanasoma kwenye shule aghali toka kindergarten hadi elimu ya chuo. Cha kushangaza watoto wa geti Kali hawapo Tena mtaani Ili kuendeleza sifa Yao ya mapenzi ya dhati. Badala yake wote wamekua wadangaji na makuwadi.
Najua mtavamia Uzi huu na kusema acha kulialia tafuta pesa, but I stand with my point ....wako wapi wanawake wenye mapenzi ya kweli ?
Wengine tumejaliwa pesa ,ila tunatamani kuzitumia na wanawake wenye mapenzi ya kweli , Cha kushangaza tunaambulia wadangaji.
Tunahitaji mapenzi na sio utelezi na kumwaga. Ndio maana malaya hawezi ku replace mpenzi. Malaya wako kila mahala ila wanashindwa kutambua hitaji la binadamu ni mahusiano zaidi ya sex.
Mmetugeuza wanaume kuwa kama mateja wa sex. Daily tunafanya mambo mengi hatarishi Ili tupate pesa ya kutafuta mapenzi na badala yake tunaambulia mbunye tu. Mbususu sio mapenzi, mapenzi ni furaha, amani, utulivu, maelewano, mshikamano, urafiki, na mapenzi teletele.
Na kwa sababu mapenzi yamekosekana kilichopo sokoni ni sex tu. Nimasikitiko kuona tunaishi kwenye jamii ambayo wanawake hawana kingine to offer than SEX. This is too sad.
Shime shime watoto wa geti Kali mjitokeze muokoe jamii. Kwa mkutadha wa uzi huu mtoto wa geti kali ni yeyote mwenye mapenzi ya kweli na sio njaa ya PESA. Anaeweza kuthubutu kuingia kwenye mahusiano na ukapita mwezi hajatangaza njaa na shida zake bali kipindi chote hicho lugha yake iwe UPENDO