SirAlfred006
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 509
- 1,210
something untonkuHuyo aliyepachika simu kiunon uki zoom kina kitu utakiona,
Huh bafwetu!😂😂😂😂something untonku
Dah!Umetazama hadi aina ya roho walizonazo?😂😂😂😂Huyo aliyepachika simu kiunon uki zoom kina kitu utakiona,
Nalimison.Ila ni ndotoni.Nani anakula hapo?
Nalimison.Ila ni ndotoni.
Deo anapenda vizuri, humu anamzikia Evelyn SaltDah!Ndiyo maana jamaa yetu Deo Kisandu(Nalimison) huwa anaweweseka sana.😂😂😂😂
Namilison ni kiboko.Hachelewi kujigawia warembo.Sisi tunaanza kuomba chaja za smatifoni kumbe yeye yupo "mbele mbele yetu" zaidi.Deo anapenda vizuri, humu anamzikia Evelyn Salt
Dah!Ndiyo maana jamaa yetu Deo Kisandu(Nalimison) huwa anaweweseka sana.