Watoto wa 2000 VS watoto wa 2010

Watoto wa 2000 VS watoto wa 2010

MjukuWaBabu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2023
Posts
456
Reaction score
708
Hello good people.
Leo nimeonelea tufanye jambo apa kwa kuwapa somo Hawa wadada wa Leo ambao wanajichukulia special sana hasa kwa hivi vizazi vya 2000 na hiki kipya cha 2010

Hawa watu ni walimbukeni sana wa utandawazi na mahusiano.

Hawa wanichukulia mahusiano ni bihasha. Kibaya zaidi wao wanajiona wapo mbele ya muda na technology.

Hawa wanaamini kila mwanaume wanaweza mtimizia katika tendo. In short hawa ni kizazi kipya cha revolution ya prostitutes ambao wapo sokoni yaani night clubs, bars na mitaani.

Itoshe kusema Hawa watu watachuja mapema sana maana wanashemyentwa haswa na wao wanaona ni fashion kuwa na wanaume msululu.

Niwakumbushe tuu nyie watoto, hata enzi za Sodoma na Gomora kizazi chenu kilikuwepo na kilipata adhabu Kari ya moto, enzi za Nuhu kizazi chenu kilikuwepo, kiliambjlia mafuriko. Dunia haiitaji speed mliyonayo otherwise mtaishia kuchuja na kuwa mashangazi katika umri mdogo.

I'm out.
Wenu MjukuWaBabu.
 
Tatizo lipo kwa wanaume na sio wanawake .
Natafakari comment yako, sipati mwelekeo wa hoja yako.

Kifupi kwa mawazo yangu nazani hivi vizazi vimekuja na upepo wa kisurisuri na hakiambiliki. Speed 180 katika matumizi ya social networks na challenges zao ambazo Kuna wakati vinakuwa uchi.

Sasa mwanaume analaumiwaje hapo Mkuu ??
 
Huyo wa 2000 sasa hivi ni 25 keshakuq mshangazi, ukisema vitoto vya 2000 kwa harakaharaka ni wale kuanzia 2005 ambao wako chuo sasa hivi.
Analysis ya nguvu. Wengi wa rika hilo wamekwisha kuwa single moms Wana watoto 2 hadi 3.
Hatari sana.
 
Hello good people.
Leo nimeonelea tufanye jambo apa kwa kuwapa somo Hawa wadada wa Leo ambao wanajichukulia special sana hasa kwa hivi vizazi vya 2000 na hiki kipya cha 2010

Hawa watu ni walimbukeni sana wa utandawazi na mahusiano.

Hawa wanichukulia mahusiano ni bihasha. Kibaya zaidi wao wanajiona wapo mbele ya muda na technology.

Hawa wanaamini kila mwanaume wanaweza mtimizia katika tendo. In short hawa ni kizazi kipya cha revolution ya prostitutes ambao wapo sokoni yaani night clubs, bars na mitaani.

Itoshe kusema Hawa watu watachuja mapema sana maana wanashemyentwa haswa na wao wanaona ni fashion kuwa na wanaume msululu.

Niwakumbushe tuu nyie watoto, hata enzi za Sodoma na Gomora kizazi chenu kilikuwepo na kilipata adhabu Kari ya moto, enzi za Nuhu kizazi chenu kilikuwepo, kiliambjlia mafuriko. Dunia haiitaji speed mliyonayo otherwise mtaishia kuchuja na kuwa mashangazi katika umri mdogo.

I'm out.
Wenu MjukuWaBabu.
Vya 2010 vina utamu tayari?
 
Back
Top Bottom