MjukuWaBabu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 456
- 708
- Thread starter
- #21
Vya 2010 vina utamu tayari
Huu mtego š¤£Vya 2010 vina utamu tayari?
Vya 2010 vina utamu tayari
Huu mtego š¤£Vya 2010 vina utamu tayari?
Unamtafuta wapi?Wamtafute muumba wao siku za Ujana wao kabla hazijaja siku watakazosema hawana furaha ktk hayo...
Hilo nalo neno š¤£š¤£Unamtafuta wapi?
Nachukia sana hii kauli. Na hii kauli ya kuwapa lawama kila jambo wanaume ndio imezaa mashoga wengi, single mother wengi, na vimalaya vingi. Endelea kumuacha binti yako bila malezi bora ya mama ili nawe kesho uje kuwapa lawama wanaumeTatizo lipo kwa wanaume na sio wanawake .