Ngaliba Dume
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,710
- 3,669
Katika hali isiyotarajiwa wanafunzi wa shule ya msingi mjini Shinyanga na vitongoji vyake wameandama huku wakiimba nyimbo za kuhamasishana kudai ahadi ya malipo yao baada ya halaiki. Watoto hao wamelalamika kunyweshwa uji wa chumvi na bokoboko ktk mda wote wa kambi,wamelbni na kusema hawatakubali ufisadi wa namna hiyo na wapo tayari kwa lolote