Takribani siku nne sasa huduma ya mawasiliano ya Internet imekuwa inapatikana kwa shida sana na wakati mwingine inakulazimu utumie visaidizi kama VPN n.k cha ajabu mamlaka zinazohusika zimekuwa kimya kana kwamba hakuna tatizo lolote.
Watanzania wameendelea kupata hasara kwa maana ya vifurushi walivyonunua na wale wanaofanya biashara kwa njia ya mtandao. Ni wakati sasa wakuvichukulia hatua vyombo hivi. Je, kuna haki kwa mpewa huduma katika hili utakapofungua shauri mahakamani?
Embu tujadili.
Watanzania wameendelea kupata hasara kwa maana ya vifurushi walivyonunua na wale wanaofanya biashara kwa njia ya mtandao. Ni wakati sasa wakuvichukulia hatua vyombo hivi. Je, kuna haki kwa mpewa huduma katika hili utakapofungua shauri mahakamani?
Embu tujadili.