KaziIendelee
JF-Expert Member
- Oct 30, 2013
- 327
- 229
Ndugu wanaJF siku chache niliandika uzi juu ya ugumu wa maisha MUCE ambao unasababishwa na kutotolewa kwa "boom" ambapo walishasaini wiki 2 zilizopita,vijana hawa wenye mafunzo ya kijeshi(JKT) pamoja na wengine wa mwaka wa 2 na 3 wamesikika mara kwa mara kusema "ngoja tu....,kwa mtindo huu MUCE hapatakalika".Lakini pia wameitupia lawama DARUSO-MUCE,PIA WANADAI HAKUKUWA NA HAJA YA KUSAINI BOOM MAPEMA WAKATI HAWATOI.