Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,988
- 103,360
Msajili wa vyama hili halioni?
Msajili ni sehemu ya hizi siasa chafu za CCM. Hana lolote atakalosema maana analishwa kwa hisani ya CCM.
Msajili wa vyama hili halioni?
Kuna maelekezo tumeyapata kutoka kwa wakubwa. Kweli kazi ipo. Nawaona wasiojulikana, TRA etc wakifukuzana na watanzania."Huwezi ukaharibu ushindi wa magufuli ukabaki salama"
Nayakaziaa haya maneno aliyosema
CCM inamiliki vyombo vyote vya dolaCCM sio chama cha siasa, bali ni kikundi cha kijeshi kilichojivika koti la chama cha siasa. Na bila tume hii ya uchaguzi, na vyombo vya dola, ccm haiwezi kushinda uchaguzi.
19 Julai 2020
Watia Nia CCM Mbeya Wachimbwa Mkwara
Mjiandae kisaikolojia, atakayesaliti kutimulia chama, Katibu Uenezi wa CCM Mpya ndugu Humphrey Polepole aongoza jopo kuwafunda
Hakuna mtia nia wa CCM kukimbilia upinzani, ukishindwa kura za maoni. Ukitusaliti tutakufuata popote ulipo.
Mwaka huu huwezi kuharibu ushindi wa chama cha CCM ukabaki salama, tumepokea maagizo toka juu.
Chanzo: MbeyaYetuOnlineTV
Nilishangaa saana maana kiukweli wapinzani Tanzania hawana pa kusemea;CCM Ni ileeileee ooooh Ni ileileee.
Captain komba alishaimba. Mnahangaika bure Ila umoja uliopo Kati ya rushwa, roho mbaya na CCM huwezi kuutenganisha hata kidogo.t
Dhahiri.CCM sio chama cha siasa, bali ni kikundi cha kijeshi kilichojivika koti la chama cha siasa. Na bila tume hii ya uchaguzi, na vyombo vya dola, ccm haiwezi kushinda uchaguzi.
Pigia msitari kabisa man"Huwezi ukaharibu ushindi wa magufuli ukabaki salama"
Nayakaziaa haya maneno aliyosema
Hawa hawatishi, ila wanamanisha. Ni mapema mno kusahau yaliyowapata wa akina TL , saa 8, n.k.Hii ni hatari sasa.
CCM inamiliki vyombo vyote vya dola
CCM inamiki haxina
Usicheze na CCM!
Hata wenyewe wanalijua hilo wazi.CCM sio chama cha siasa, bali ni kikundi cha kijeshi kilichojivika koti la chama cha siasa. Na bila tume hii ya uchaguzi, na vyombo vya dola, ccm haiwezi kushinda uchaguzi.
Wanajisahau sanaaNi hivi hivi, mchana kweupe, upinzani unaanza kuchimbwa na wao wakishangilia kama inavyoonekana hapa.
Ukiachana na hivyo vitisho vya kipuuzi, angalia hawa mnaowasema kila siku akina Popole wanavyochakarika na kazi ndani ya chama wakifanya mikakati kila mahala, hata ile isiyokuwa halali na ambayo haitangazwa na kushangiliwa humu kwa sasa hivi.
Wapinzani kuja kustuka, too late, wamekwishafungwa goli! Mambo ni yale yale ya siku zote, lakini hakuna funzo linalosomeka.
Hawa, akina Popole, wapo sana huku vijijini, viongozi wa mashina wanatogota kimya kimya, wapinzani ndio kwanza wanajionyesha mijini.
Akina Popole wakiwafunda wagomea wao kila mahali, na kuwapa mbinu za kujaza fomu, wagombea wa upinzani watajaza fomu kama hawajawahi kaa darasani'
Halafu wanapokatwa kwa sababu za kipuuzi kabisa, upinzani ndio wanalilia wananchi wawaonee huruma!
Haya tunayaandika sio kwa furaha, lakini uzembe unapotokea hakuna sababu ya kuvungavunga ukweli ulivyo.
Sasa hivi wengi tunakaza roho, endapo uchaguzi utafanyika na ukaonyesha unafuu wa kutosha kwamba uvurugaji haukuwa mkubwa kiasi cha kutisha, na Magufuli akishinda katika hali hiyo tutashangilia, sasa tufanyeje kama waTanzania ndivyo walivyoamua kutokana na uzembe wa watu kufanya kazi zao kwa weledi.
Tunasubiri tu, uchaguzi ufanyike katika hali nzuri ya kuridhisha, tutameza vidonge vichungu na maisha yataendelea.
Na safari hii, baada ya kuipoteza nafasi hii, itabidi tusubiri muujiza uzuie kuwa kama Rwanda au Uganda kikamilifu kabisa.
Maneno na kauli za mwenyekiti!Malipo ya usaliti ni kifo
19 Julai 2020
Watia Nia CCM Mbeya Wachimbwa Mkwara
Mjiandae kisaikolojia, atakayesaliti kutimulia chama, Katibu Uenezi wa CCM Mpya ndugu Humphrey Polepole aongoza jopo kuwafunda
Hakuna mtia nia wa CCM kukimbilia upinzani, ukishindwa kura za maoni. Ukitusaliti tutakufuata popote ulipo.
Mwaka huu huwezi kuharibu ushindi wa chama cha CCM ukabaki salama, tumepokea maagizo toka juu.
Chanzo: MbeyaYetuOnlineTV
Wacha weeee !!!Malipo ya usaliti ni kifo