Watekaji na wauaji nawashauri mbadili njia ya kufanya Ukatili, mnajiexpose sana

Watekaji na wauaji nawashauri mbadili njia ya kufanya Ukatili, mnajiexpose sana

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
4,770
Reaction score
10,665
Kama ingekuwa Ukatili na kuua na kutesa watu ni best approach ya kufanya Censorship….I think JPM would have been a Champion .

Binafsi mnajiexpose sana kitaifa na kimataifa which is not Healthy.

Madhara ya kujiexpose hata kwenye ulimwengu wa ki intelligence ni kukaribisha wahuni.

hamtoweza ku SILENCE maoni ya watu walioelimika kwa hakika…. Nchi zilizoendelea zilitambua hilo na kuachana na mambo ya kuzuia uhuru wa maoni.

Hii njia mnayotumia kwa ulimwengu wa Sayansi mnafeli sana na kujiexpose, alitumia Nyerere haikumaliza watu wabishi….Mkapa alitumia still haikumaliza watu wabishi…. JK alitumia kwa nidham lakini haikumaliza watu wabishi…. JPM was the worst of all …..na ndio kipindi ilizaa majitu mabishi kuwahi kutokea hadi ikampa stress na akafa….. SSH anatumia njia ya JPM…. Be asured hatoweza badala yake kinachoendelea atazalisha ma gangster ndani ya System ….wapo viongozi wakuu wanaheshima sana na viongozi wao wakikatoliki….mnachokifanya mnaenda kuwaweka kwenye Ethical Dilema … as a result wata breach the code kama kipindi cha JPM… ataanza kupambana na watu wa mfumo wake… asubuhi anafanya kazi yako …. Jioni anafanya kazi ya ki gangster against the higher orders……. Hutotoboa

Tell your people to stop the HELL immediately wanachokifanya… it is not worth it na ni outdated method …. Tafuteni Scientific ways to deal with Haki na Uhuru wa Mtazamo.

Hilter also had a vision of a new Germany …. He ended up killing himself.

It is very hard to deal with human behavior, human ni very complicated creature …. You need emotional intelligence and balance to deal with them …. Otherwise Hutoboi Mark my Words
 

Attachments

  • IMG_4957.jpeg
    IMG_4957.jpeg
    306.4 KB · Views: 15
Muda mwingine wanaotumwa kuumiza au kuua wananchi wajitafakali kidogo , wananchi ndo wanaishi kwa ukaribu na familia yako afu hao hao unaenda kuumiza familia zao 💔
 
Vitendo vya kikatili na kinyama vilivyofanywa na Polisi tarehe 24 April 2025 kuwateka wanachama na viongozi wa Chadema eno la Mahakama ya Kisutu kisha kwenda kuwapiga na kuwavunja miguu na mikono na baadae kuwatupa katika mapori mbali mbali kisha RPC muliro kukana kuwa siyo Polisi waliofanya unyama huo vilitufumbua macho Watanzania na dunia kuwa kumbe wale wote waliokuwa wanapotea na kukutwa wameuwawa hiyo ni kazi tukuka ya polisi wetu.

Mungu ni wa ajabu sana, amewapiga upofu wakawateka watu hadharani kisha kuwa vunja vunja miguu na mikono na kuwatupa maporini tena wengine wakiwatupa eneo walilowahi kumtupa Marehemu Kibao baada ya kumteka hadharani na kumua kikatili, ile patern imetegua kitendawili kilichoumiza vichwa vya watu kwa muda mrefu. Sasa hivi polisi hawana kichaka cha kujifichia tena na hawatakaa waaminike tena hasa kwa uwongo aliosema Muliro bila hata aibu wala hofu ya Mungu.
 
Mmmmh
 

Attachments

  • 883D671D-3278-4BDB-AF5C-6A8ED156E60B.mp4
    14.2 MB
Rais Samia kazi yako tunaiona, lakini ujue pamoja na utukufu wako kuna Mungu anayaona mateso haya yanayofanyika kwa watu wasio na hatia ili wewe uendelee kubaki madarakani, damu hizi ni laana kubwa kwa utawala wako.
Utukufu ni neno kubwa Sana.
 
Kama ingekuwa Ukatili na kuua na kutesa watu ni best approach ya kufanya Censorship….I think JPM would have been a Champion .

Binafsi mnajiexpose sana kitaifa na kimataifa which is not Healthy.

Madhara ya kujiexpose hata kwenye ulimwengu wa ki intelligence ni kukaribisha wahuni.

hamtoweza ku SILENCE maoni ya watu walioelimika kwa hakika…. Nchi zilizoendelea zilitambua hilo na kuachana na mambo ya kuzuia uhuru wa maoni.

Hii njia mnayotumia kwa ulimwengu wa Sayansi mnafeli sana na kujiexpose, alitumia Nyerere haikumaliza watu wabishi….Mkapa alitumia still haikumaliza watu wabishi…. JK alitumia kwa nidham lakini haikumaliza watu wabishi…. JPM was the worst of all …..na ndio kipindi ilizaa majitu mabishi kuwahi kutokea hadi ikampa stress na akafa….. SSH anatumia njia ya JPM…. Be asured hatoweza badala yake kinachoendelea atazalisha ma gangster ndani ya System ….wapo viongozi wakuu wanaheshima sana na viongozi wao wakikatoliki….mnachokifanya mnaenda kuwaweka kwenye Ethical Dilema … as a result wata breach the code kama kipindi cha JPM… ataanza kupambana na watu wa mfumo wake… asubuhi anafanya kazi yako …. Jioni anafanya kazi ya ki gangster against the higher orders……. Hutotoboa

Tell your people to stop the HELL immediately wanachokifanya… it is not worth it na ni outdated method …. Tafuteni Scientific ways to deal with Haki na Uhuru wa Mtazamo.

Hilter also had a vision of a new Germany …. He ended up killing himself.

It is very hard to deal with human behavior, human ni very complicated creature …. You need emotional intelligence and balance to deal with them …. Otherwise Hutoboi Mark my Words
CCM haijawahi kuwa na Aibu
 
Back
Top Bottom