chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 903
Ila kampuni hizi zinachosha na bahati nasibu zao
mkuuu bei za zantel nipe nije huko ina speed?
Airtel kampuni inaheshimika ila kwa siku mbili wameanza kuzingua internet.
kwanza huduma ya 2500 ya net wamefunga hii imepelekea wateja elfu tano kuhama kwa siku je wiki
pili siku nzima internet yenunazingua hebu fanyani mambo
onyoo mkishindwa kutupa huduma nzuri tutahama na tutaenda TCRA
Kwa mshahara wa 150,000/= hii huduma ni very expensive.yes speed iko poa ni mwendo wa 3G,natumia weekly bundle!!tshs 8000
Kwa mshahara wa 150,000/= hii huduma ni very expensive.
afadhali nilisita kuuza kamodem kangu ka zantel... ningeumbuka thathakweli bora bito na bajaji
gharama za zantel kwa sasa ni 500mb kwa 10,000 kwa mwezi, but wana proposal ya 750mb kwa 15,000Kwa mshahara wa 150,000/= hii huduma ni very expensive.
Kwa mshahara wa 150,000/= hii huduma ni very expensive.
mi nimehama rasmi jana,nishavuta line yangu ya zantel nakula net,acha wabaki na internet yao,soko huria bana!nawasihi na nyie muhame ili wapate somo
Smartphone na laptop ni vitu viwili tofauti mkuu, huwezi kulinganisha nguvu ya vitts na Land cruiser v8. nina Blackberry version 9800 lakini huwezi kunishawiki kwamba niitegemee simu hii kwa matumizi ya Internet, hapana mkuu hapo umepotoka hii naitumia nikiwa away from home. yaani ni mobile zaidi.Hiyo moderm yao nimeshagawa longtime nimebaki na BB service tu kwa package ya uhakika na cheap bora zantel ila sasa sijui zantel ukiwa maswekeni
kulikoni? Sielewi kwa nini watu wanahama?na tcra ndp wapi huko?airtel kampuni inaheshimika ila kwa siku mbili wameanza kuzingua internet.
Kwanza huduma ya 2500 ya net wamefunga hii imepelekea wateja elfu tano kuhama kwa siku je wiki
pili siku nzima internet yenunazingua hebu fanyani mambo
onyoo mkishindwa kutupa huduma nzuri tutahama na tutaenda tcra
ni kweli wanachaji elfu kumi badala ya elfu 2500 kwa MB 400?