QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
Breaking News
Kuna tetesi kuwa basi lililokuwa limebaba wananchi waliopelekwa kwenye mkutano wa kampeni limepinduka usiku huu likiwa linawarudisha majumbani kwao na watu watatu wamefariki dunia huko Zanzibar na sitini na tatu kujeruhiwa. Hii ilikuwa katika Breaking news ya Radio One. Ni masikitiko lakini tumepata uthibitisho kuwa kweli CCM inawabeba watu kutoka sehemu moja kwenda nyingine ili waongeze idadi ya watu katika mikutano yao. Maskini inawezekana walienda kwa sababu ya mshiko. Mungu aziweke roho za marehemu mahali pema peponi.
Mwandishi aliyeko maeneo hayo, anaweza kutupasha zaidi.
Kuna tetesi kuwa basi lililokuwa limebaba wananchi waliopelekwa kwenye mkutano wa kampeni limepinduka usiku huu likiwa linawarudisha majumbani kwao na watu watatu wamefariki dunia huko Zanzibar na sitini na tatu kujeruhiwa. Hii ilikuwa katika Breaking news ya Radio One. Ni masikitiko lakini tumepata uthibitisho kuwa kweli CCM inawabeba watu kutoka sehemu moja kwenda nyingine ili waongeze idadi ya watu katika mikutano yao. Maskini inawezekana walienda kwa sababu ya mshiko. Mungu aziweke roho za marehemu mahali pema peponi.
Mwandishi aliyeko maeneo hayo, anaweza kutupasha zaidi.