TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,762
- 21,230
Kuna ajali imetokea hapo jijini Arusha maeneo ya Mount Meru hotel karibu naofisi za Zola, taarifa isiyo rasmi watu zaidi ya 4 wanasadikiwa kugongwa na kupoteza maisha.
Waliopata ajali inasemekana ni kina mama wafanya biashara pembeni mwa barabara ambapo gari aina ya saloon ndiyo iliyosababisha ajali hiyo ambapo kwa usalama wa dereva wake aliokolewa na askali waliofika hapo baada ya wananchi wenye hasira kutaka kumpiga.
Habari zaidi hapa hapa JF.
---------------------
UPDATE
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Arusha Jonathan Shanna, watu watatu wamefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa baada ya gari dogo kuacha njia na kuwaparamia
Inasemekana waliofariki dunia ni wakina Mama ambao walikuwa wanafanya biashara zao pembezoni mwa barabara
Dereva wa gari hiyo anashikiliwa na Polisi, ambaye baada ya kumpima walimkuta alikuwa amelewa
Waliopata ajali inasemekana ni kina mama wafanya biashara pembeni mwa barabara ambapo gari aina ya saloon ndiyo iliyosababisha ajali hiyo ambapo kwa usalama wa dereva wake aliokolewa na askali waliofika hapo baada ya wananchi wenye hasira kutaka kumpiga.
Habari zaidi hapa hapa JF.
---------------------
UPDATE
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Arusha Jonathan Shanna, watu watatu wamefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa baada ya gari dogo kuacha njia na kuwaparamia
Inasemekana waliofariki dunia ni wakina Mama ambao walikuwa wanafanya biashara zao pembezoni mwa barabara
Dereva wa gari hiyo anashikiliwa na Polisi, ambaye baada ya kumpima walimkuta alikuwa amelewa