Watanzania wote tujaribu kuiga mfano huu wa Mhe. Mbunge Mlinga namna ya kupanga na kupangua hoja

Mwanamayu

JF-Expert Member
May 7, 2010
11,349
6,476
Nimemsikia Mhe. Mbunge Mlinga akipangua hoja kuwa ile ndege ay Emirates iliyotua kwa dharura JNIA aina ya airbus A380-800 ni ndege kubwa ya kwanza kutua katika uwanja huo. Mhe. amejitahidi kuwa objective kwa kutumia vigezo vitavyokubalika na vyenye vipimo vunavyo kubalika, mfano, ukubwa na urefu. Amelinganisha ndege ya Antinov iliyoleta mitambo ya umeme na hii Airbus A380.

Kwa mujibu wa uchambuzi wake na njia aliyotumia, ni dhahiri A380-800 sio ndege kubwa ya kwanza kutua JNIA.

Sikiliza hoja (argument) ya kuwa ni ndege kubwa ya kwanza kutua JNIA hapa kutoka kwenye credible source.


Hoja panguzi (counter-argument) ya Mhe. Mbunge Mlinga hii hapa.


Wapi hoja ya Mhe. Mlinga ina mapungufu? Ni hapa kuwa, Mhe. Mlinga angeweza kwenda zaidi na kusema kuwa hata duniani, bado sio ndege kubwa.

Halafu pia, Mhe. Mlinga angeweza kusema, labda kama huyo mtoa hoja angesema kuwa kigezo ni ndege ya abiria na kipimo cha idadi ya abiria badala ya kusema tu 'ndege kubwa duniani na kutua JNIA kwa mara ya kwanza'.

Namna hii ya kupinga na kuwasilisha hoja ndio tunaihitaji Tanzania - iwe kwa raia, iwe kwa serikali au baina ya pande hizi mbili.
 
Duh.... umeanzisha kabisa thread kwa ajili hii???? By the way for your information Airbus A380 kwa sasa ndio ndege kubwa kuliko zote za "ABIRIA" duniani, na kwa Tanzania ndo mara ya kwanza kutua.
 
Duh.... umeanzisha kabisa thread kwa ajili hii???? By the way for your information Airbus A380 kwa sasa ndio ndege kubwa kuliko zote za "ABIRIA" duniani, na kwa Tanzania ndo mara ya kwanza kutua.

The point ni kuwa yule bwana wa airport hakutumia kigezo hicho labda kwa ku-assume wote wataelewa hivyo. Tatizo aliishia tu na ndege bila kusema ni ya mizigo, ya kivita au abiria.

My point here is how to construct a sound argument.
 
hii nchi ingekua salama zaidi kama CCM isingekuwepo... ona leo bila aibu mtu umepigiwa kura kutatua kero za wananchi wewe unaenda kupiga domo juu ya ujio wa ndege kubwa?? hiyo ndege iliyotua JNIA inafaida gani jimboni kwako Morogoro?? au itapunguza uhaba wa maji na kujenga zahanati vijijini??? wabunge wajinga kama hawa si wa kuwasifia
 
hii nchi ingekua salama zaidi kama CCM isingekuwepo... ona leo bila aibu mtu umepigiwa kura kutatua kero za wananchi wewe unaenda kupiga domo juu ya ujio wa ndege kubwa?? hiyo ndege iliyotua JNIA inafaida gani jimboni kwako Morogoro?? au itapunguza uhaba wa maji na kujenga zahanati vijijini??? wabunge wajinga kama hawa si wa kuwasifia
Ndo maana watu walianza kudhihaki kwa kusema "juhudi za mh jpm" maana walijua tu watu wataipa promo kama ndo imeanza safari zake hapa nchini.
 
Nimemsikia Mhe. Mbunge Mlinga akipangua hoja kuwa ile ndege ay Emirates iliyotua kwa dharura JNIA aina ya airbus A380-800 ni ndege kubwa ya kwanza kutua katika uwanja huo. Mhe. amejitahidi kuwa objective kwa kutumia vigezo vitavyokubalika na vyenye vipimo vunavyo kubalika, mfano, ukubwa na urefu. Amelinganisha ndege ya Antinov iliyoleta mitambo ya umeme na hii Airbus A380.

Kwa mujibu wa uchambuzi wake na njia aliyotumia, ni dhahiri A380-800 sio ndege kubwa ya kwanza kutua JNIA.

Sikiliza hoja (argument) ya kuwa ni ndege kubwa ya kwanza kutua JNIA hapa kutoka kwenye credible source.


Hoja panguzi (counter-argument) ya Mhe. Mbunge Mlinga hii hapa.


Wapi hoja ya Mhe. Mlinga ina mapungufu? Ni hapa kuwa, Mhe. Mlinga angeweza kwenda zaidi na kusema kuwa hata duniani, bado sio ndege kubwa.

Halafu pia, Mhe. Mlinga angeweza kusema, labda kama huyo mtoa hoja angesema kuwa kigezo ni ndege ya abiria na kipimo cha idadi ya abiria badala ya kusema tu 'ndege kubwa duniani na kutua JNIA kwa mara ya kwanza'.

Namna hii ya kupinga na kuwasilisha hoja ndio tunaihitaji Tanzania - iwe kwa raia, iwe kwa serikali au baina ya pande hizi mbili.
Wamesema ndege kubwa ya abiria na wako sahihi pia. Nyie mnaishia kusema ndege kubwa bila kuongeza abiria mbele. Hakuna ndege kubwa ya abiria duniani yenye ukubwa kama hiyo so far. Boeing 747 ni kubwa lakini haifiki hapo.
 
Na hili ni mojawapo ya majukumu ya wawakilishi wa Watanzania Bungeni katika kuisimamia Serikali!!!! Hivi mjadala kama huu una maslahi gani kwa Watanzania!?
Wamekosa mambo muhimu yanayowahusu Watanzania mpaka waongelee hili!? :eek::eek::eek:

Kweli hili ni Bunge la MAZWAZWA!!!!


Nimemsikia Mhe. Mbunge Mlinga akipangua hoja kuwa ile ndege ay Emirates iliyotua kwa dharura JNIA aina ya airbus A380-800 ni ndege kubwa ya kwanza kutua katika uwanja huo. Mhe. amejitahidi kuwa objective kwa kutumia vigezo vitavyokubalika na vyenye vipimo vunavyo kubalika, mfano, ukubwa na urefu. Amelinganisha ndege ya Antinov iliyoleta mitambo ya umeme na hii Airbus A380.

Kwa mujibu wa uchambuzi wake na njia aliyotumia, ni dhahiri A380-800 sio ndege kubwa ya kwanza kutua JNIA.

Sikiliza hoja (argument) ya kuwa ni ndege kubwa ya kwanza kutua JNIA hapa kutoka kwenye credible source.


Hoja panguzi (counter-argument) ya Mhe. Mbunge Mlinga hii hapa.


Wapi hoja ya Mhe. Mlinga ina mapungufu? Ni hapa kuwa, Mhe. Mlinga angeweza kwenda zaidi na kusema kuwa hata duniani, bado sio ndege kubwa.

Halafu pia, Mhe. Mlinga angeweza kusema, labda kama huyo mtoa hoja angesema kuwa kigezo ni ndege ya abiria na kipimo cha idadi ya abiria badala ya kusema tu 'ndege kubwa duniani na kutua JNIA kwa mara ya kwanza'.

Namna hii ya kupinga na kuwasilisha hoja ndio tunaihitaji Tanzania - iwe kwa raia, iwe kwa serikali au baina ya pande hizi mbili.
 
Back
Top Bottom