Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,717
- 29,074
Mzuka wanajamvi.
Watanzania wengi na waafrika kwa jumla kusini mwa jangwa la Sahara tumshukuru Mungu kwa kutufanya kuwa maskini hadi kutoweza kumudu kula milo mitatu kwa siku.
Hii ni advantage kwetu na imetufanya Tuwe na afya bora na kufanya kinga za mwili zetu ziwe thabit.
Professor Janabi (the national treasure) anasisitiza milo miwili kwa siku ili uishi maisha marefu yenye afya na furaha.
Tusilaumu na kulalamika sana hali ngumu ya maisha na umaskini inatufanya tusiweze kula milo mitatu kwa siku badala yake tushukuru kwani ni blessing in disguise.
.
Watanzania wengi na waafrika kwa jumla kusini mwa jangwa la Sahara tumshukuru Mungu kwa kutufanya kuwa maskini hadi kutoweza kumudu kula milo mitatu kwa siku.
Hii ni advantage kwetu na imetufanya Tuwe na afya bora na kufanya kinga za mwili zetu ziwe thabit.
Professor Janabi (the national treasure) anasisitiza milo miwili kwa siku ili uishi maisha marefu yenye afya na furaha.
Tusilaumu na kulalamika sana hali ngumu ya maisha na umaskini inatufanya tusiweze kula milo mitatu kwa siku badala yake tushukuru kwani ni blessing in disguise.
.