Watanzania Wawili wakamatwa South Africa na Madawa

Sidhani kama 'serikali hii dhaifu' inaweza hata kutueleza, mifuko hiyo mitatu ya ciment ilipitaje JKNIA ... so zile check point zao ni kwa ajili ya kutuvulisha saa,mikanda na viatu tu?Au mzigo ulipita VIP???Ama kweli MUNGU ni mkubwa, wameumbuka now ...
 
Die hard. Get rich or die tryin. Pole zake huyo mrembo amethubutu akiwezeshwa ataweza zaidi. She must have a story and that itz.
 
Watumikaji tu hawa kuanzia ngono mpaka madawa ya kulevya,anaetaka clip ya ngono ya huyu binti ani pm nimpe link afurahie remotly.
 
Hivi tanzania agness gerard ni mmoja tuu hamna wengina nan anapicha za usibitisho kuwa ni huyo video qeen...nawasilisha

Agnes Masogange yupo zake instagram anatumia tu mapicha. Mcheki kwa hii aggnesfineassgirl utamuona.
 
Sio Agness Masogange. Huyo ni Agnes Gerald mwingine. kumbuka ukiwa na double english name unaweza kuta duniani mpo zaidi ya elf moja. Mtoa mada tulete habari zenye uhakika usipotoshe.
 
Hivi ni rais gani vile aliyesema anawajua wauza unga tena vigogo? na akasema atawataja? na kwa nini hawataji wakati wanawaponza vijana wadogo namna hii na kuwapotezea dira zao?

Mungu ni samehe huwa nina wasi wasi na mali za wema sepetu ni kilinganisha na kazi zake.

Huyu hapa
 
Mbona Agness bado ana update picha kwenyevaccount yake ya instagram? Au kuna mtu anapost au accaount yake iko hacked?

Ingawa naona picha alizoweka sasa hivi ni za nyuma, hata style ya nywele si aliyokuwa nayo last week. Hata flow yake ya majibu anayotoa ni kama sio yeye vile coz ningetarajia aje ba mashauzi mengi kwa haters waliozusha hii story.

Akiweka picha yake ya leo hii ndo tutajua kuwa hajakamatwa na watu wanamzushia.
 
Baada ya kitambo kidogo wema sepetu naye tutasikia kakamatwa na dawa za kulevya
 
Bado ni jambo la kushangaza na kujiuliza hivi kweli walitokea Tanzania na walipitia viwanja vya ndege vya Tanzania??? kama ndio basi hatuna kweli watenda kazi pale kiwanjani kweli wasione mzigo mkubwa hivyo? Mie mwanakijiji nikija Dar huwanajiuliza magari mazuri haya yote ni hela halali na Serkali inaangalia tu Enzi za Mwalimu tayari wote hawa wangekiona. Naomba Serkali iwashughulikie MAPAPA wa madawa ya kulevy kuokoa watoto wetu jamani!!!!1
 
Sio Agness Masogange. Huyo ni Agnes Gerald mwingine. kumbuka ukiwa na double english name unaweza kuta duniani mpo zaidi ya elf moja. Mtoa mada tulete habari zenye uhakika usipotoshe.

we unamjua vizuri agnes masogange? Haujui kwamba anaishi s.africa? Haujui kwa alikua anakaa tanzania dsm sinza? Coincidence zote hzo hauamini? Karaga bao thomaso.
 
uwanja wandege wa Dar yani hamna kitu. wewe toka nje at once ukitua pale tu yaaani ule mtrundikano wa kuingia pale pa kuchukulia mizigo na mambo mengine yote huwezi kulinganisha na kokote ulikopita wakati unakuja bongo. halafu hawa wandada nadhani kukosa expoure na awareness ya nje wakidanganywa tu hao wanaingia. umri huu ni mdogo sana kukabiliaana na reality ya mambo haya katika nchi za wenzetu. yaaani anakua kazubaazubaa tu, kiingereza chenyewe ze.. ze... lazima tu anaswe. halafu hawajifunzi kwa yule binti aliye kamatwa kule Misri miezi miwili iliyopita naye alikua superstar na nadhani anaweza kukabiliwa na hukumu ya kifo.tena wana bahati ya kukamatwa south, ingekuwa kenya na wakakudaba mtz!!! bora ufilie mbali
 
Hii ni aibu kwa wale waliopewa jukumu la kuzuia na kupambana na madawa ya kulevya. Wanakula kodi zetu bure huku madawa yakipita kwenye viwanja vyetu vya ndege bila kizuizi chochote. Haiwezekani kg 150 zipite bila kuonekana au wenyewe ndio ninyi mnaopambana na hayo madawa?
 
Back
Top Bottom