Loy MX
JF-Expert Member
- Mar 26, 2012
- 1,253
- 312
Na huwa njiuliza sana hawa mabinti wanapata wapi milion 13 ya kumlipia mtu kama faini kirahisi rahisi tu. Ok naanza kupata majibu ya maswal niliokuwa nikijiuliza.
Sio mchezo aisee yaani huoni mtu akijishughulisha lakini mwisho wa siku fujo zake ni balaa... Ku mwaga milioni kadhaa kwenye kumbi za starehe ni kawaida kabisa....