MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,320
- 6,376
Oh my God!! Yu are terribly wrong and coherent in exhibiting your IQ!
we are the employer we are asking employee what he will do for us and you are saying we are wrong??? if u belong to CDM please feel free to respond to this question convince him and other citizen! ulichojibu ni kukwepa swali na kushambulia
Kuna watu sehemu fulani, mahali fulani humu! niliwauliza kuwa tatizo la CCM ni kuwa kina wafanyabiahsara walio kwenye position kubwa kisiasa na hivyo wanajisukumia tenda na ku-influence decision kwenye kila kitu
Nikauliza, Mbowe ni mfanyabiashara, Ndesamburo au Komu...Je wakishika nchi, say Slaa ni rais Mbowe ni waziri mkuu
Mechanism gani au kitu gani kitafanyika kuzuia wafanyabiashara hawa wasifanye yale yale ya CCM given lawas and regulations will still be there before them to change!!
Hili swali nikiuliza.....nitakuwa 'shambolic and incoherent asker''??
Mkuu Wabe si tupo kwenye mchakato wa katiba mpya? Huenda ikawa imetoa mwelekeo kati ya biashara na siasa !