Watanzania wanapenda sana kujadili mambo kwa mlengo wa dini

Watanzania wanapenda sana kujadili mambo kwa mlengo wa dini

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
1,475
Reaction score
3,538
Kuna mtu alituma andiko kua mafanikio ya taifa stars ni kua waislamu wamepewa nafasi. Hilo ni andiko la ajabu sana na huyu mtu ningekua na mlaka ningempa onyo kali sana kwa kuleta fitna.

Kwenye sakata la wake wa Ndugai wapo wanaosema ndoa ya kwanza ya kanisa ndio inayotambulika kwakua hawa wengi ni wakristo, kuna wale wanaomtetea bi Fatma wakiamini kua ni muislam, japo hawasemi waziwazi ila unaeeza elewa mlengo wao,

Hi ni hatari kama taifa, tufocus kwenye haki za binaramu na sheria.
Binafsi napenda sana kuzingatia
 
Noma sana
20250811_195634.jpg
 
Kuna mtu alituma andiko kua mafanikio ya taifa stars ni kua waislamu wamepewa nafasi. Hilo ni andiko la ajabu sana na huyu mtu ningekua na mlaka ningempa onyo kali sana kwa kuleta fitna.

Kwenye sakata la wake wa Ndugai wapo wanaosema ndoa ya kwanza ya kanisa ndio inayotambulika kwakua hawa wengi ni wakristo, kuna wale wanaomtetea bi Fatma wakiamini kua ni muislam, japo hawasemi waziwazi ila unaeeza elewa mlengo wao,

Hi ni hatari kama taifa, tufocus kwenye haki za binaramu na sheria.
Binafsi napenda sana kuzingatia
sio mlengo kiswahili sanifu ni mrengo
 
Achante kumbe muda mwingine unakuaga na akili kama wanaume
 

Attachments

  • downloadfile-14.jpg
    downloadfile-14.jpg
    70 KB · Views: 16
Back
Top Bottom