Watanzania Wamejisahau Sana Kuhusu UKIMWI Kampeni za mapambano zimezimika

Kibo10

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
11,277
8,840
Nimefanya utafiti wangu mdogo,Watanzania wengi wamejisahau sana kuhusu ukimwi.Kampeni na elimu juu ya maambukizi zimekufa kuanzia redioni kwenye Tv na hata watu wengi vijueni hawaupi huu ugojwa mjadala kabisa.Ni tofauti na miaka tano iliyopita!

Tusipo rekebisha na kujisahau hivi 2025 namba ya waathirika itarudi juu sana.
 
Mkuu ni kweli kampeni zimepungua kasi kidogo nadhani labda sababu kuu ni kuwa Wafadhili waliokuwa wanafadhili Kampeni hizo wamepunguza au wameacha kutoa Fedha hizo., si unakumbuka zile Kampeni zilikuwa ni kwa Hisani ya Watu kutoka wapi sijui huko???
 
Nimefanya utafiti wangu mdogo,Watanzania wengi wamejisahau sana kuhusu ukimwi.Kampeni na elimu juu ya maambukizi zimekufa kuanzia redioni kwenye Tv na hata watu wengi vijueni hawaupi huu ugojwa mjadala kabisa.Ni tofauti na miaka tano iliyopita!

Tusipo rekebisha na kujisahau hivi 2025 namba ya waathirika itarudi juu sana.
Umekwisha zoeleka hata malaria zamani kampeni ilikuwa kuua mazalia ya mbu baadae ikaja tumia chandarua masalia hayaongelewi.
Now ukimwi ni mwendo wa kuvaa ndom
 
Nimefanya utafiti wangu mdogo,Watanzania wengi wamejisahau sana kuhusu ukimwi.Kampeni na elimu juu ya maambukizi zimekufa kuanzia redioni kwenye Tv na hata watu wengi vijueni hawaupi huu ugojwa mjadala kabisa.Ni tofauti na miaka tano iliyopita!

Tusipo rekebisha na kujisahau hivi 2025 namba ya waathirika itarudi juu sana.

Katika vitu ambavyo siviamini ni idadi ya waathirika wa ukimwi, ukihudhuria kwenye vituo kuna nyomi ya hatari nilimpeleka brother pale pasada unafika saa mbili lakini kuondoka saa kumi jioni na hiyo hali ni kila siku amabazo kituo hicho kipo wazi, sasa najiuliza kama sisi tulikuwa tunaenda kwa mwezi mara moja je kwasiku 28 inakuwaje?
 
Hizo dawa zikipungua/zikiisha ndio tutajua kuwa hili gonjwa bado lipo na ni tishio.

Beware!
 
Mliambiwa mzaliane na bosi wenu na zaidi hio miradi alisema ni ya wapigaji kwaio ndo hivo
 
Mkuu ni kweli kampeni zimepungua kasi kidogo nadhani labda sababu kuu ni kuwa Wafadhili waliokuwa wanafadhili Kampeni hizo wamepunguza au wameacha kutoa Fedha hizo., si unakumbuka zile Kampeni zilikuwa ni kwa Hisani ya Watu kutoka wapi sijui huko???
Lazima ujiulize kwanini wafadhili wamepungua ama kuacha kabisa kufadhili hii miradi
 
Matumizi ya Arv pia yamepunguza kasi ya maambukizi ndio maana na kampeni zimepungua
 
Back
Top Bottom