Mujumba
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 853
- 306
Ama kweli kama Dr. Slaa anakurupuka ndio maana akapata kura zaidi ya milioni 2 hata mimi naomba karama ya kukurupuka. Kama Slaa alitoa list of shame kwa kukurupuka ndion maana CCM wamejuvua gamba nami eeh mola nijalie kukurupuka. Ndio kama Slaa amemshussha JK toka asilimia zaidi ya 80% hadi 60% niombe nini kama sio kukurupuka?
acha ukichaa,kwani slaa alikuwa mgombea pekee katika uchaguzi ule? bogus kabisa wewe