Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,757
- 437
AMAKWELI UPO GIZANI .Rais wako aliomba ziku zaidi alipokuwa anautubia Watanganyika kuwa siku 9 na 21 nidogo awezi kutatua matatizo ya watu .LAKINI AMETOA AGIZO HEWA .1 SUKARH KUSHUSHA BEI !.2 Tanesco kushusha bei ya umeme.¡ 3 DOWANS MPAKA SASA AIJALIPWA 4 KASITISHA BOMOABOMOA YA MAGUFULI .Kakuta UCHUMISHI Mishahara hewa 9bilion ajachukua hatua 4 Kaagiza wanaojenga viwanja vya jangwani kubomoa uzio wa mabati jamaa wamegoma . NANI RAIS DR SLAA AU Prof JK