Watanzania waliosoma Havard

Inawezekana wengine walihudhuria tu madarsa Harvard bila kuelimika.
Halafu kuna Harvard na Howard. Pia kuna wanafunzi wachache sana at postgrad level ambao admission requirements zinakua waved hasa kama ni kiongozi kutoka developing countries na kapendekezwa na serikali, kuna vi scholarship vya aina hiyo.
 
Mh Frederick Tluway Sumaye waziri mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania . Kuanzia 1995-2005
 
Alisoma Harvard kwa nguvu ya kuwa ex-Prime Ministrer na pesa ya kulipia tuition, na siyo sana sababu ya rigorous intellectual capability aliyokuwa nayo kama undergraduates wengi wanaoshindania nafasi ya kusoma Harvard kila mwaka.
 
Nepi Mwandosya Nnauye,huyu alichukua Digrii ya Uongo in Usahaulifu.
 

Na wewe umesoma hapona uko NSA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…