Watanzania wako vizuri ukiangalia shule za kulipia zilivyo nyingi mtaani

bulabo

JF-Expert Member
Aug 20, 2015
620
759
Nimejiuliza sana why hizi shule za kulipia ni nyingi sana nchini Tanzania. Mtaani kwetu tu zipo kama saba, distance ya kama 3km unapata shule ya St ya Nursery and Primary. Ilihali za government zipo mbali kidogo. Hii inaonesha namna gani Watanzania wana pesa mifukoni maana shule hizi ada zake ni zaidi ya Masters na Undergraduate kwa level ya nursery tu.

Kwa hiyo ukisema Watanzania hawana pesa ni wewe tu, imenishangaza sana India hii mambo hakuna kabisa kwa nini Watanzania tunalalama hamna hela wakati watoto wenu wapo shule za kulipia. Nawaza tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja kati ya vyanzo vya umasikini Tanzania ni private schools. 80% ya watanzania kulipia 3M kila mwaka kwa kila mtoto kwa miaka 20 ni kukaribisha umasikini.

Priority ya kila mzazi inatakiwa iwe ni kuwekeza kwa ajili ya miaka ijayo. Education is no longer a reliable investment to be that expensive.



Sent using Jamii Forums mobile app
3*20=60m kuwekeza 60m kwa miaka 20 kwa ajili ya mtoto wako sio issue ili mradi unazo. Btw 60m ni ada ya mwaka mmoja IST.
 
Inatuongezea umasikini tu, najiuliza tu huko mbelez ambapo elimu ya kibeberu imeanzia wana mifumo ya elimu mibovu namna hii? Mambo ya privatisation ndio yametufikisha hapa, mtu ana watoto watatu na wote inabidi wawekeze kwenye "elimu nzuri" hivyo mzazi atatafuta pesa hata kwa kuiba ili kila mtoto akalipiwe 2.5mil.

Nadhani kabisa serikali imeshindwa kusimamia elimu kwa ujumla wake hapa nchini, kama kweli ingekuwa inasimamia kwa uzuri, private schools za nini, tena kila mtaa?
 
Elimu muhimu na kusomesha sio ANASA. Ndio maana wahenga wakasema ikiwa unaona elimu ni ghali basi jaribu UJINGA. Mzazi anatafakari nigharamie ELIMU au mtoto akapambane na hali yake kule kwenye darasa la watoto 200? Free education (free of knowledge).

Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ni mtazamo wako, ila kwa mtazamo wangu ts very ignorant to invest all u have in a system that creates unemployment. Elimu bora ni ile inayotoa jawabu kwa kwa maswali yaliyopo wakati huo.

The world is changing and everyday it creates new questions that need to be answered, this un changing system has proved not to be effective.

Kama mzazi hulioni hili basi unatengeneza umasikini kwako na kwa watoto wako unaoamini wameelimika zaidi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inatuongezea umasikini tu, najiuliza tu huko mbelez ambapo elimu ya kibeberu imeanzia wana mifumo ya elimu mibovu namna hii? Mambo ya privatisation ndio yametufikisha hapa, mtu ana watoto watatu na wote inabidi wawekeze kwenye "elimu nzuri" hivyo mzazi atatafuta pesa hata kwa kuiba ili kila mtoto akalipiwe 2.5mil.

Nadhani kabisa serikali imeshindwa kusimamia elimu kwa ujumla wake hapa nchini, kama kweli ingekuwa inasimamia kwa uzuri, private schools za nini, tena kila mtaa?
Mzazi anaweza kua na income nzuri leo ila baadaye yeye pamoja na watoto wake wenye "degree" wakawa masikini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inatuongezea umasikini tu, najiuliza tu huko mbelez ambapo elimu ya kibeberu imeanzia wana mifumo ya elimu mibovu namna hii? Mambo ya privatisation ndio yametufikisha hapa, mtu ana watoto watatu na wote inabidi wawekeze kwenye "elimu nzuri" hivyo mzazi atatafuta pesa hata kwa kuiba ili kila mtoto akalipiwe 2.5mil.

Nadhani kabisa serikali imeshindwa kusimamia elimu kwa ujumla wake hapa nchini, kama kweli ingekuwa inasimamia kwa uzuri, private schools za nini, tena kila mtaa?
Ada ni zilezile huko mbele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inatuongezea umasikini tu, najiuliza tu huko mbelez ambapo elimu ya kibeberu imeanzia wana mifumo ya elimu mibovu namna hii? Mambo ya privatisation ndio yametufikisha hapa, mtu ana watoto watatu na wote inabidi wawekeze kwenye "elimu nzuri" hivyo mzazi atatafuta pesa hata kwa kuiba ili kila mtoto akalipiwe 2.5mil.

Nadhani kabisa serikali imeshindwa kusimamia elimu kwa ujumla wake hapa nchini, kama kweli ingekuwa inasimamia kwa uzuri, private schools za nini, tena kila mtaa?
Ila kukopa 20m kununua magari sio tatizo. Kayumba bado zipo.
 
Elimu muhimu na kusomesha sio ANASA. Ndio maana wahenga wakasema ikiwa unaona elimu ni ghali basi jaribu UJINGA. Mzazi anatafakari nigharamie ELIMU au mtoto akapambane na hali yake kule kwenye darasa la watoto 200? Free education (free of knowledge).

Sent using Jamii Forums mobile app
Hali ngumu.nilijaribu kwenda kumuandikisha mwanangu primary hizi shule za serikali.baada ya kufika shuleni nikafanya taratibu za kumuandikisha.sasa wakati natoka nikasema wacha nichungulie madarasani.dah niliishiwa pozi.watoto wamerudikana hata hewa hakuna.wanaka wanne kwenye dawati la kutosha watoto wawili.nikaghaili ...nimewaandikisha wanangu shule ya kulipia ingawa ndio imekuwa chanzo cha madeni ya hapa na pale...potelea mbali...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja kati ya vyanzo vya umasikini Tanzania ni private schools. 80% ya watanzania kulipia 3M kila mwaka kwa kila mtoto kwa miaka 20 ni kukaribisha umasikini.

Priority ya kila mzazi inatakiwa iwe ni kuwekeza kwa ajili ya miaka ijayo. Education is no longer a reliable investment to be that expensive.



Sent using Jamii Forums mobile app
Well said.. but elimu ni hazina!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom