Watanzania waitikisa Marekani kwa utapeli

Watanzania waitikisa Marekani kwa utapeli

Wapo wengi kiasi...kuna huyu mwingine huko Minnesota, anaitwa Alpha Mshihiri.

Hii fraud ilikuwa inafanywa zaidi na watu wenye asili ya Kitanzania tuu?

Halafu inaonekena kama ilikuwa very popular during the sub-prime mortgage crisis that triggered the recession of 2008.
 
Da mshikaji wangu kalley ammy naye yupo? Lkn sijaona jina lake labda awe amebadil jina
 
Eish! diasporas!!,isije ikawa ndio hawa akina naniliyu mana wengine hata hapa JF hawaonekani siku hizi.
 
Aiseeeeeeeer kwanini wasirudi bongo kama maisha magumu huko?


Kule Marekani maisha siyo magumu ila tamaa za kutaka kuishi kifahari wakati mtu uwezo hana ndipo unakuta mtu anachukua uhamuzi wa kutaka kuiba. Watanzania wengi sana wanaishi kihivi kuiga Nigerians.
 
Kushoto kaka wa Bw.harusi Fanuel Ligate na Bw.harusi Luther Guy Ligate na wapambe best man Elton Andrews na Paul Fisher muda mfupi kabla ya kufunga ndoa yao.

img_3957.jpg
 
Wazazi wa Bw.harusi Brigedia Jenerali mstaafu Ligate na mke wake wakifuatilia ibada.

img_3992.jpg
 
Phanuel Ligate kushoto akiwa kwenye wasaa wa kung'aa na mdogo wake Bw.harusi Guy.

img_3953.jpg
 
Mahakama nzuri kuliko mjengo wa Magogoni, Lol

Majengo ya mahakama yaliyo mengi nchini Marekani yako hivyo, yalijengwa siku za nyuma, unapiingia au kupita kando ya jengo unaonja kama upo kwenye mizani ya sheria haswa.
 
Kumbe tena wanatoka familia ambazo zipo bien,kwa hiyo pesa zao ni kwa ajili yake mkewe na watoto tu,bado wanataka kuiba,kwa nini wasitafute pesa kwa njia halali jamani?Brigedia achangishe wanajeshi wenzake na marafiki zao,walipe hizo pesa
 
Ligate and his co-conspirators identified two properties for sale.

Mwihava established a shell company called Xavier Engineering and Construction Company (XECC) to receive settlement disbursements for purported home renovations.

Gladyness Silaa acted as the real estate agent.

Larry Johnson acted as the buyer.

At the end of this, they all pleaded guilty [emphasis added].
 
Halafu ni watoto wa watu wazito na wakubwa wanaofanya mambo ya kuwaaibisha watanzania.

Kama Edgar Tibakweitira, ambaye anajulikana pia kama Edgar Julian, Charles Edgar Tibakweitira au Edgar Gaudious Tibakweitira ni siyo mtoto wa mzee Gaudious Tibakweitira ambaye ni mjumbe wa Tume ya Maadili ya viongozi?

Pichani ni Rais Kikwete baada ya kuwaapisha viongozi wa Tume ya Maadili ya Viongozi, Mzee Tibakweitira ni wa pili kushoto mwaka 2010 source michuziblog.

8D6U3002.jpg
 
Tamaa ya kutaka pesa za haraka haraka ambazo ni pesa haramu mbaya sana Victoire, sasa imekula kwao wamebaki na majuto mjukuu.

Kumbe tena wanatoka familia ambazo zipo bien,kwa hiyo pesa zao ni kwa ajili yake mkewe na watoto tu,bado wanataka kuiba,kwa nini wasitafute pesa kwa njia halali jamani?Brigedia achangishe wanajeshi wenzake na marafiki zao,walipe hizo pesa
 
Last edited by a moderator:
wewe jamaa ni mdukuzi aisee, hivi max shimba hayumo kwenye orodha kweli?

Mie sio mdakuzi bana, kila kitu kinapatikana gugo.

Halafu huyo Max Shimba mbona unamshikia sana bango?

Ulikuwa na dili nae akakuchinchia baharini nini?
 
Ni mtoto wa Mzee Gaudios Tibakweitira.

Kama Edgar Tibakweitira, ambaye anajulikana pia kama Edgar Julian, Charles Edgar Tibakweitira au Edgar Gaudious Tibakweitira ni siyo mtoto wa mzee Gaudious Tibakweitira ambaye ni mjumbe wa Tume ya Maadili ya viongozi?

Pichani ni Rais Kikwete baada ya kuwaapisha viongozi wa Tume ya Maadili ya Viongozi, Mzee Tibakweitira ni wa pili kushoto mwaka 2010 source michuziblog.

8D6U3002.jpg
 
Mie sio mdakuzi bana, kila kitu kinapatikana gugo.

Halafu huyo Max Shimba mbona unamshikia sana bango?

Ulikuwa na dili nae akakuchinchia baharini nini?

Wengi tu wavivu wa ku-google EMT
 
Tamaa ya kutaka pesa za haraka haraka ambazo ni pesa haramu mbaya sana Victoire, sasa imekula kwao wamebaki na majuto mjukuu.

Lakini kama walikuwa wajanja na kusepesha hizo pesa wakitoka huko gerezani mambo yao yaweza kuwa pina tuu.
 
Back
Top Bottom